Mgao wa Escrow aliopata Chenge na wenzake ni bajeti ya mwaka mzima ya Wizara ya Mwakyembe

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
Tunamvyosema CCM ni Ile ile Haijabadilika sasa mjione wizi na Ufisadi ndio sera yao number moja


chenge.jpg
 
Huyo mnafiki mwakyembe kwanza hatakiwi hata kutengewa bajeti, yeye akijaziwa mafuta kwenye gari tu inatosha kwani shughuli zake kubwa ni kuhudhuria matamasha ya wakina Saida Karoli na ikitokea kuna timu ya kigeni imekuja nchi ni kuwa tu pale airport kuwapokea.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom