Mgao mzito wa umeme Mwanza

Mgao mzito wa umeme Mwanza

MwanaCBE

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2009
Posts
1,771
Reaction score
804
Hii ni hali ya hatari huku Mwanza kwa sasa.
Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na mgao mzito wa umeme jijini.
Alafu si TANESCO wala WIZARA ya MUONGO wanajisumbua kututangazia kuwa na mgawo watu tujipange jinsi ya kuishi.

Jamani TANESCO au Wizara husika tangazeni rasmi mgao Mwanza angalau tuwashukuru coz tushazowea.
By the way hivi hizo hela za ESCROW ndo wamegawana kabisa na hata hawataki kusemwa hawa watu duuuh!!

Huu MGAO sijui utaisha lini nchi hii aaaagh...!!!
 
Utaisha Nov. 2015 mara tu baada ya kuwaondoa CCM madarakani.
 
Mgao umetamalaki nchi nzima, ni mwezi mzima sasa. Lile liprofesa lenu li Muhongo lilidanganya mgao wa umeme kuwa historia, liprofesa Kikwete nalo ni janga la kidunia linaita wawekezaji waje huku kujenga viwanda lakini hakuna umeme matokeo yake wanakula per diems tu za uchina na marekani na wawekezaji hawaji zaidi ya wachina wachoma mahindi.
 
Unasubiri tangaz???! Utasubiri sana! Mambo KIMYAKIMYA!
 
Siku mbili zilizopita nilikuwa Arusha. Sehemu kubwa ya jiji ilikuwa giza totoro. Tanesco emergency wakipigiwa simu wanasema kuna tatizo la ufundi na mtarudishiwa umeme baada ya nusu saa. Nusu saa hiyo haikufika hadi usiku wa manane. The other day, nikaamua kwenda ofisi za Tanesco nikafahamu ni nini kimejiri hadi jiji kuwa gizani siu zote mflulizo vile.

Nilipokuwa pale ofisini ndipo nilipoambiwa kwamba kuna low power supply toka Ubungo.

Ni suala la kitaifa na wala Tanesco Arusha hawana uwezo nalo.

Niakuliza ni kwa nini sasa wanawaambia watu matengenezo ya mitambo kila siku huku wakijua ni uwongo. Kwa nini wasitangaze mgawo wakatoa na ratiba ili kupunguza mateso kwa wananchi?
Tuliongea kwa kina na niliyemkuta pale kwamba, kufanya mgawo kisiri siri huku mkiwaongopea watu siuungwana. Waambieni watu ili wapange shughuli zao za uzalishaji mali kama ni kutafuta generators, kama ni ku reschedule ratiba za kazi ama kama ni kupunguza wafanyakazi, au diversification ya shughuli, kuliko kuwaweka kwenye suspense kumbe ninyi mnajua hakuna uwezekano wa wao kuzalisha kwa siku kadhaa ama kwa muda fulani.

Nilichoambiwa ni kwamba hata wao hawajui nini wakubwa wanafikiria.

Kwa hiyo, kama kawaida ya seriakli, inaogopa kuwapa watu taarifa za ukweli kwa sabbu wahenga walisema "mzoea vya kunyonga, vya kuchija haviwezi", .. Seriakli imezoea haram. Kwa hiyo watu wa Mwanza na kwinginepo manpoona mauza uza ya umeme, jitafutieni kama mnaweza njia mbadala kwa sababu huu ni mgawo ila seriakli ya ccm itaendelea kutoa uwongo uwongo tu kwa sababu ndiyo kawaida yake. Lakini ukweli ni kwamba seriakli hainauwezo wa kutoa umeme wa kutosheleza mahitaji yenu.

Angalizo. Na kwa kuwa sasa ccm wamekwiba fedha zote kiasi hata dawa za wagonjwa hakuna, tutegemee heavy blow kwenye suala la nishati.

Hii ndiyo seriakli ya ccm.



Hii ni hali ya hatari huku Mwanza kwa sasa.ie
Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na mgao mzito wa umeme jijini.
Alafu si TANESCO wala WIZARA ya MUONGO wanajisumbua kututangazia kuwa na mgawo watu tujipange jinsi ya kuishi.

Jamani TANESCO au Wizara husika tangazeni rasmi mgao Mwanza angalau tuwashukuru coz tushazowea.
By the way hivi hizo hela za ESCROW ndo wamegawana kabisa na hata hawataki kusemwa hawa watu duuuh!!

Huu MGAO sijui utaisha lini nchi hii aaaagh...!!!
 
Hii ni hali ya hatari huku Mwanza kwa sasa.
Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na mgao mzito wa umeme jijini.
Alafu si TANESCO wala WIZARA ya MUONGO wanajisumbua kututangazia kuwa na mgawo watu tujipange jinsi ya kuishi.

Jamani TANESCO au Wizara husika tangazeni rasmi mgao Mwanza angalau tuwashukuru coz tushazowea.
By the way hivi hizo hela za ESCROW ndo wamegawana kabisa na hata hawataki kusemwa hawa watu duuuh!!

Huu MGAO sijui utaisha lini nchi hii aaaagh...!!!

Sio mwanza tu hata huku tunduma yaani umeme unakatika huelewi unakuja saa ngapi pia ukiwepo uelewi utakatika saa ngapi kwakweli kama ni mgao waseme basi watu tujiandae
 
Dar naona ndo wameanza mgao jioni hii.Nipo Tegeta umeme umekatika zaidi ya saa moja na nusu haujarudi!
 
Siku mbili zilizopita nilikuwa Arusha. Sehemu kubwa ya jiji ilikuwa giza totoro. Tanesco emergency wakipigiwa simu wanasema kuna tatizo la ufundi na mtarudishiwa umeme baada ya nusu saa. Nusu saa hiyo haikufika hadi usiku wa manane. The other day, nikaamua kwenda ofisi za Tanesco nikafahamu ni nini kimejiri hadi jiji kuwa gizani siu zote mflulizo vile.

Nilipokuwa pale ofisini ndipo nilipoambiwa kwamba kuna low power supply toka Ubungo.

Ni suala la kitaifa na wala Tanesco Arusha hawana uwezo nalo.

Niakuliza ni kwa nini sasa wanawaambia watu matengenezo ya mitambo kila siku huku wakijua ni uwongo. Kwa nini wasitangaze mgawo wakatoa na ratiba ili kupunguza mateso kwa wananchi?
Tuliongea kwa kina na niliyemkuta pale kwamba, kufanya mgawo kisiri siri huku mkiwaongopea watu siuungwana. Waambieni watu ili wapange shughuli zao za uzalishaji mali kama ni kutafuta generators, kama ni ku reschedule ratiba za kazi ama kama ni kupunguza wafanyakazi, au diversification ya shughuli, kuliko kuwaweka kwenye suspense kumbe ninyi mnajua hakuna uwezekano wa wao kuzalisha kwa siku kadhaa ama kwa muda fulani.

Nilichoambiwa ni kwamba hata wao hawajui nini wakubwa wanafikiria.

Kwa hiyo, kama kawaida ya seriakli, inaogopa kuwapa watu taarifa za ukweli kwa sabbu wahenga walisema "mzoea vya kunyonga, vya kuchija haviwezi", .. Seriakli imezoea haram. Kwa hiyo watu wa Mwanza na kwinginepo manpoona mauza uza ya umeme, jitafutieni kama mnaweza njia mbadala kwa sababu huu ni mgawo ila seriakli ya ccm itaendelea kutoa uwongo uwongo tu kwa sababu ndiyo kawaida yake. Lakini ukweli ni kwamba seriakli hainauwezo wa kutoa umeme wa kutosheleza mahitaji yenu.

Angalizo. Na kwa kuwa sasa ccm wamekwiba fedha zote kiasi hata dawa za wagonjwa hakuna, tutegemee heavy blow kwenye suala la nishati.

Hii ndiyo seriakli ya ccm.

Mimi utafiti wangu umegundua kuwa kila wakati serikali inapokuwa na wakati mgumu kifedha ndio mgao unatokea. Hii Ni kwa sababu serikali na Tanesco wanakosa hela za mafuta ya yale majenereta ya IPTL. Kwa wakati huu ambao Maji yamepungua mabwawani tutapigika sana na mgao. Kikwete hana habari, yuko zake Vietnam
 
Sio mwanza tu hata huku tunduma yaani umeme unakatika huelewi unakuja saa ngapi pia ukiwepo uelewi utakatika saa ngapi kwakweli kama ni mgao waseme basi watu tujiandae

Tunduma mliacha kutumia umeme wa Zambia?

Cha kushangaza UKAWA hawajaongea chochote kuhusu mgao wa umeme wakati wananchi tunataabika
 
Hii ni hali ya hatari huku Mwanza kwa sasa.
Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na mgao mzito wa umeme jijini.
Alafu si TANESCO wala WIZARA ya MUONGO wanajisumbua kututangazia kuwa na mgawo watu tujipange jinsi ya kuishi.

Jamani TANESCO au Wizara husika tangazeni rasmi mgao Mwanza angalau tuwashukuru coz tushazowea.
By the way hivi hizo hela za ESCROW ndo wamegawana kabisa na hata hawataki kusemwa hawa watu duuuh!!

Huu MGAO sijui utaisha lini nchi hii aaaagh...!!!

Eti hawana mafuta, nimesikia utaisha wiki hii, coz wataletewa hayo mafuta
 
AU haya ni mazoezi kwa tanesco dhidi ya ile tarehe ambayo NASA walisema dunia itakuwa gizani siku sita kwa mwezi ujao wa 12...??.
 
Dar naona ndo wameanza mgao jioni hii.Nipo Tegeta umeme umekatika zaidi ya saa moja na nusu haujarudi!

Kimara nako hadi sasa bila bila tangu saa moja.
Hivi natuma post hii ni saa sita kasoro usiku.
CCM oyee!
 
Hii ni hali ya hatari huku Mwanza kwa sasa.
Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na mgao mzito wa umeme jijini.
Alafu si TANESCO wala WIZARA ya MUONGO wanajisumbua kututangazia kuwa na mgawo watu tujipange jinsi ya kuishi.

Jamani TANESCO au Wizara husika tangazeni rasmi mgao Mwanza angalau tuwashukuru coz tushazowea.
By the way hivi hizo hela za ESCROW ndo wamegawana kabisa na hata hawataki kusemwa hawa watu duuuh!!

Huu MGAO sijui utaisha lini nchi hii aaaagh...!!!

Mkuu vipi umeme umerudi?
 
Sanaa tu hii nchi,,, kuna maada humu JF ilikuwa inasema kwa nini wazungu wanatunyanyapaa watu weusi??? Hii ni sababu ya moja wapo sasa,, rais wenu anakwenda kwao kuomba misaada kila kukicha,, wakati Huku anagas, makaa ya mawe,mito,maziwa na maporomoko ya kutosha... Kama kipindi chote alichokuwa rais angekomaa tu hapa home nakuhakikisha tuna megawatt za kutosha na stable,,, na za ziada tukauza kwa majirani unafikili tungekuwa wapi sasa... Wakati tunauza umeme tunachimba makaa ya mawe wenyewe na kuexport, kulikuwa kuna haja gani ya no bw DANGOTE kuwa na investment kubwa kiasi kile pale mtwara bila ya serikali kuwa na 75% ya shares...
Serikali imeshindwa kukopa na kununua gas turbines za 4000MG na gas engines za 4000MG huku tukabaki standby yetu ya 2000MG na tukawa hata na 1000MG Wind turbine, pia tukawa na standby ya diesel genset za kutosha,,, yale makaa yetu ya mawe yakatumika kuzalisha steam tukapata walau 1000MG... hivi huyu mkuu wa nchi walau kwa kipindi chake angefanya haya na kuachana na kila kitu leo si angekuwa anaondoka ametuachia kumbukumbu ya kutosha....
 
Mkuu samurai ukishachagua mcheza ngoma kuwa raisi we tegemea kukatiwa viuno Tu. Watanzania tunavuna tulichopanda, kwanza Profesa Kikwete yuko Vietnam saizi hajui hata nini kinaendelea. Bila aibu anaenda kuomba msaada katika nchi ambayo kila kitu kiliharibiwa na vita lakini wamefanya kazi kwa bidii kufika hapo walipo. Sasa hao wawekezaji anaowaalika watajenga viwanda kwa umeme upi?
 
Hawa TANESCO watu wa hovyo sana. Yaani wameurudisha umeme kwa dakika 20 tu nakuuchukua tena.

TANESCO, MUONGO NA CCM HOVYO KABISA

Umeme dakika 20 waliwaletea kwa ajili ya kuchajia simu. Naskia Mwanza mgao sasa ni shida kubwa, no Maji, no umeme. Hawa CCM tuwashikishe adabu mwakani. Ila nashangaa media haziongelei huu mgao.
 
Back
Top Bottom