residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Jana na leo zinafanana!!???Conspiracy theories....
Kwa hiyo hata hizi chanjo dhidi ya magonjwa ya watoto ,huyo beberu anatumaliza nazo?!!!
Tunameza vidonge vya UKIMWI kila siku kwa hiyo beberu anatuchakaza nazo?!!
Tunakunywa soda kama COCACOLA NA PEPSI..."materials" yanatoka nje...kwa hiyo BEBERU HUYO anatumaliza eeee?!!!
mkuu uko open kiasi cha kutosha kutaka kujua? Na kwa nini una-conclude kuwa ni uongo mkuu?Tuache uongo hivi mtu unachanjwa unaathirikaje na hiyo chanjo?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
sio kweliJiwe ndio aliwajaza ujuha.
Kweli mimi mwenye nililazimika kuchanja kwa kuwa mke ni muuguzi (amechanja) na ameshahudumia wagonjwa wa uviko na baadhi walipona kwa kuwekewa oksijeni na baadhi walifariki.Watu waache hofu sijaona badiliko lolote upungufu wowote leo ni siku 52 toka nichanjwe.Itakuwa upumbavu kwa watumishi wa sekta ya afya kukataa kuchanja wakati wao wapo katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa Covid-19 kuliko kada yoyote. Ilipaswa iwe lazima.
Ulimsikiliza Askofu Gwajima?Tujitokezeni kuchanjwa jamani.......
#SiempreJMT
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Matokeo ya side effects za Johnson & Johnson utaziona kuanzia mwaka 2023- 2025! We subiri tu!!!Kweli mimi mwenye nililazimika kuchanja kwa kuwa mke ni muuguzi (amechanja) na ameshahudumia wagonjwa wa uviko na baadhi walipona kwa kuwekewa oksijeni na baadhi walifariki.Watu waache hofu sijaona badiliko lolote upungufu wowote leo ni siku 52 toka nichanjwe.
Utaambiwa una matatizo. 5G ikishawekwa sawa kutakuwa na mamboMatokeo ya side effects za Johnson & Johnson utaziona kuanzia mwaka 2023- 2025! We subiri tu!!!
Subiri wakianza uploading!! Mkuu una nano-chip tayari!! They can trace you whenever they want!! They can upload whatever data they want! They can even influence your thinking! Pole!! Tuache hayo corona ni ugonjwa wa kufikirika! Ukiamini upo unakuwepo kweli!! Ukiamini haupo, haupo kweli!! Wanaoathirika ni wale wanaoamini juu ya corona!!Kweli mimi mwenye nililazimika kuchanja kwa kuwa mke ni muuguzi (amechanja) na ameshahudumia wagonjwa wa uviko na baadhi walipona kwa kuwekewa oksijeni na baadhi walifariki.Watu waache hofu sijaona badiliko lolote upungufu wowote leo ni siku 52 toka nichanjwe.
Mkuu usiwatishe watu.Nguvu ya beberu sio poa hata kidogo, beberu kahakikisha tunachanja, lazima tuchanje coz tunapewa pesa za bure na mikopo nafuu. Jiulize beberu ana interest gani na mwafrika, kumlazimisha mambo yake ya ndani kabisa?
These mofos are imbeciles!
Kumekuwa na malalamiko kuwa mganga mkuu wa Tumbi Hospital amekuwa akitoa vitisho kwa watumishi ambao bado hawajashawishika kuchanja chanjo ya corona!
Mganga mkuu huyo Dr Malima amekuwa akitishia hata ajira kwa ambao hawatakubali kabisa kuchanjwa japo serikali ilishasema chanjo ni hiari.
Kuna tetesi za chini chini kuwa yeye mwenyewe alishachanja na ameathirika na chanjo hiyo. Kwa hiyo analazimisha na wengine wachanje ili kifo cha wengi iwe harusi !!
Inasemekana LEO asubuhi kwenye clinical meeting ameagiza chanjo ziletwe na atawaamuru wasiochanjwa wachanje bila hiari yao ya dhati!! Watu sampuli hii hawafai.
Rais alishatoa maagizo wahusika wasitumie mabavu!! Waelimishe na kushawishi ili watu wachanje kwa hiari. Katika tiba hakuna huduma unayoweza kumpa mtu kwa mabavu. This is contrary to medical ethics!!
In medical issues hakuna kitu inayoitwa "kushurutisha/kulazimisha". Kinachotakiwa ni kutoa taarifa sahihi ya huduma na mlengwa aamue kuridhia kupata huduma paswa kupitia taarifa sahihi alizopatiwa (Informed consent). Huo ndio UTABIBU.Itakuwa upumbavu kwa watumishi wa sekta ya afya kukataa kuchanja wakati wao wapo katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa Covid-19 kuliko kada yoyote. Ilipaswa iwe lazima.
Wapi umeona hiyo chanjo moja imeokoa maisha!! Aende kuokoa mama yake, mke wake watoto wake nk!!Kama wewe ni muhudumu wa Afya na badala ya kuamini chanjo una mwamini askofu gwajima katafute kazi nyingine. Wahudumu ndiyo waambukizaji wakubwa wa Corona tena kwa watu walio hatarini kiafya. Huyu anajaribu kuokoa maisha ya watu sio kupokea rushwa lakini bado kuna watu hawapendi!!
Chip unaijua acheni kupotosha.wanitrace kwa faida gani.Shida baadhi ya watanzania ni kuamini watu wasio na elimu ya tiba.Wengi walikimbilia Samunge eti tiba ya ukimwi wakaacha ARV wakapukutika.Tusubiri hiyo 2023 yenu mnaodanganywa na Gwajiboy tapeli wa mimbarini.Subiri wakianza uploading!! Mkuu una nano-chip tayari!! They can trace you whenever they want!! They can upload whatever data they want! They can even influence your thinking! Pole!! Tuache hayo corona ni ugonjwa wa Y! Ukiamini upo unakuwepo kweli!! Ukiamini
haupo, haupo kweli!! Wanaoathirika ni wale wanaoamini juu ya corona!!
Bila shaka wanajikinga la sivyo wangekuwa wameshaambukizwa na wengine wengi kufaKuna vitu vinashangaza sana kwa wasomi wetu wa kada ya afya....
Hawa wako vitani....mstari wa mbele kabisa....inakuwaje kukataa chanjo ilihali wako maeneo hatarishi tena wanawatibu wagonjwa wa UVIKO 19?!!!
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#TujitokezeniKuchanjwa
Sasa na wale wahudumu wa afya kule Marekani waliyofukuzwa kazi kwa kutokubali kuchanjwa nao watakuwa wamemsikiliza Gwajima pia? Ni upumbavu kufikiria kwamba kila asiyetaka kuchanja hapa Tz ni kwa sababu ya Magufuli au Gwajima.Kama wewe ni muhudumu wa Afya na badala ya kuamini chanjo una mwamini askofu gwajima katafute kazi nyingine. Wahudumu ndiyo waambukizaji wakubwa wa Corona tena kwa watu walio hatarini kiafya. Huyu anajaribu kuokoa maisha ya watu sio kupokea rushwa lakini bado kuna watu hawapendi!!