#COVID19 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi Hospital adaiwa kulazimisha watumishi kuchanjwa kinyume na hiari yao

Halafu viongozi wengi ni wanafiki!! Utakuta wao hawajachanja au wamechanjwa PLACEBO/MAJI YA SINDANO halafu wanajifanya kupiga makelele ya kumdanganya Mama kuwa wanahamasisha chanjo. Nimshauri Rais awaitishe viongozi wote kwa maana ya mawaziri, makatibu wakuu, wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, waganga wakuu wote wa hoaspitali za wilaya na mikoa wakiwa na FAMILIA ZAO kwa maana ya watoto wao, baba zao, mama zào nk. Kila moja achanje mbele ya kamera na familia yake!! Ndiyo!! Usipoweza kuwashawishi familia yako yota utawezaje kuwashawishi wengine!! Akifznyz nivyo ndipk atakapojuz kuwa hawa viongozi walio wengi ni wanafiki wala hawana mpango wa kuchanja maana HAWATAMKUBALIA!! !!!
Kama viongozi wote wangechanja na familia zao idadi ya waliochanja isingekuwa laki nne tu!!
Sina maana kuwa viongozi walazimishwe kuchanjwa, maana yangu ni kwamba wasilazimishe wengine kuchanja wakati wao na familia zao hawajachanjwa!! Mama umezungukwa na wanafiki linapokuja suala la chanjo!!
 
Nguvu ya beberu sio poa hata kidogo, beberu kahakikisha tunachanja, lazima tuchanje coz tunapewa pesa za bure na mikopo nafuu. Jiulize beberu ana interest gani na mwafrika, kumlazimisha mambo yake ya ndani kabisa?

These mofos are imbeciles!
Sahihi tu. Tuna faida gani hapa duniani?
 
mbingunikwetu kama wewe ni mtu afya kama unayvoeleza hapo huwezi kushindwa mbinu za medani.......wenzako walishtuka mapema kuwa watatolewa kafara kuwafurahisha wanasiasa wakafanya ya kufanya (njoo pm nikupe mbinu) au chukua vial moja au mbili mwageni chanjo yote wekeni water for injection alafu chanja hayo maji mbele ya huyo mnafiki na picha jipigeni na mpost kwenye group la mkuu wa mkoa!

Kuchanjwa chanjo ambayo hata maelezo ya matumizi yake ambayo uambatanishwa kwenye kibox cha dawa hayapo ni upunguani!
 
Ni mpumbavu peke yake ndiye atakayewalaumu wafanya kazi wa wizara ya afya wakikataa kuchanja kwa kuwa wana nafasi ya kusikia propaganda, kuona matokeo ya chanjo ya muda mfupi, na scientific confidence juu ya uwiano wa madhara na faida za chanjo hiyo kwa muda mfupi na muda mrefu.
Endelea kuamini nadhari na utabiri wa 'mnyama' Mwenye mapembe' kama ulivyoaminishwa. Bado nasisitiza ni upumbavu kwa mtumishi wa sekta ya afya kudharau chanjo.
 
Thubutu!! Hakuna mwenye ubavu wa kuchanja mtu kwa lazima!! Wataishia kutoa vitisho tu nyuma ya pazia lakini hakuna mwenye ubavu wa kutoa waraka wa kufanya chanjo kuwa lazima!! Na bila waraka walazimishaji kama huhu Dr Malima wa Tumbi Hospital wataishia kutumbuliwa tu kwa nguvu ya wananchi!! AKOME!!
Na wala hawezi kukuandikia barua ya kukufukuza kazi wala onyo.
 
Kwa hapa kwetu watumishi wa umma hilo ni kundi ambalo lilijajibainisha kuwa ni watumwa. Yameshatokea matukio mengi huko nyuma ya kudhalilisha utu wao kids ni watumishi nao kwa unyonge wao wanakubali. Bukoba walimu walicharazwa mboko mara mbili na mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya,Mwanza mwalimu alipigishwa deli darasani na DED mbele ya wanafunzi wake,Shinyanga nesi alizabwa makofi na afisa wa PCCB wakati wa zoezi la uhakiki kids hajajipanga mstari. Matukio ni mengi,so hata huyo Dk.Malima anajua kuwa watu wake ni makondoo watavhanjwa you kwa lazima amna wa kumkatalia. Jamani watumishi kazi ni mzuri lakini UTU ni muhimu zaidi naikubali kuwa makondoo kisa mishahara.
 
Kuna kituo Cha afya mganga aliwatangazia akina mama waliokwenda clinic kupimwa kuwa ili kupata huduma lazima wachanjwe,akina mama wakachukua vyeti vyao wakasambaa kwenda zao.
Akabaki katoa macho kaa chura aliyekosa maji.
Ni shinikizo la Hangaya,ila watateseka Sana na machanjo yao huenda hata yamesha expire.
 
Kuna vitu vinashangaza sana kwa wasomi wetu wa kada ya afya....

Hawa wako vitani....mstari wa mbele kabisa....inakuwaje kukataa chanjo ilihali wako maeneo hatarishi tena wanawatibu wagonjwa wa UVIKO 19?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#TujitokezeniKuchanjwa
Kati ya watu wajinga kada ya afya inaongoza kuwa na watu wajinga sn, wao ndiyo wanaipiga vita chanjo badala ya kuipromote
 
Kati ya watu wajinga kada ya afya inaongoza kuwa na watu wajinga sn, wao ndiyo wanaipiga vita chanjo badala ya kuipromote
Hao watu wa kada ya afya unaosema ni wajinga wako wangapi ?!!!

Je hao wanaopinga wanapinga na kurushwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii?!!

Je hao wanaopinga wanayaongea hayo katika vijiwe vya kahawa na vilabu vya pombe huku wakisikilizwa?!!!

Are these not fallacies?!!!
 
Kuna kituo Cha afya mganga aliwatangazia akina mama waliokwenda clinic kupimwa kuwa ili kupata huduma lazima wachanjwe,akina mama wakachukua vyeti vyao wakasambaa kwenda zao.
Akabaki katoa macho kaa chura aliyekosa maji.
Ni shinikizo la Hangaya,ila watateseka Sana na machanjo yao huenda hata yam
Inasikitisha....sana.
 
Kumekuwa na malalamiko kuwa mganga mkuu wa Tumbi Hospital amekuwa akitoa vitisho kwa watumishi ambao bado hawajashawishika kuchanja chanjo ya corona!

Mganga mkuu huyo Dr Malima amekuwa akitishia hata ajira kwa ambao hawatakubali kabisa kuchanjwa japo serikali ilishasema chanjo ni hiari.

Kuna tetesi za chini chini kuwa yeye mwenyewe alishachanja na ameathirika na chanjo hiyo. Kwa hiyo analazimisha na wengine wachanje ili kifo cha wengi iwe harusi !!

Inasemekana LEO asubuhi kwenye clinical meeting ameagiza chanjo ziletwe na atawaamuru wasiochanjwa wachanje bila hiari yao ya dhati!! Watu sampuli hii hawafai.

Rais alishatoa maagizo wahusika wasitumie mabavu!! Waelimishe na kushawishi ili watu wachanje kwa hiari. Katika tiba hakuna huduma unayoweza kumpa mtu kwa mabavu. This is contrary to medical ethics!!
Akifukuzisha kazi watu kwa sababu ya kukataa chanjo aandae walinzi mapema wa kumlinda kila wakati na kila mahali.
 
Serikali iliyoshindwa kushawishi Raia wake kuvaa walau barakoa inaamini inaweza kushawishi mtu aliepuuza barakoa eti aone umuhimu wa Chanjo

Wale wale watu waliokuwa wana kejeli hata uvaaji wa Barakoa leo ghafla bin Vuu wanajigeuza wanaujua umuhimu wa Chanjo kuliko kina Bill gates wenyewe
 
Kwa maslahi ya nani? Unajua sisi tuko tayari kufa kuliko kuchanjwa? Hakuna tusi, kebehi wala nguvu yoyote utakayotumia itakayokufanikisha dhamira yako ya kulazimisha ili muwe wengi.

Sisi tumejiandaa kuuawa, wala mauti haituumi. Kwa hiyo wazo lako baki nalo mwenyewe. Usidhani watu wote wamewekeza akili puani.
... utafika wakati mtaomba mfunguliwe SAFINA, ... TOO LATE!
1f605.png
 
mbingunikwetu kama wewe ni mtu afya kama unayvoeleza hapo huwezi kushindwa mbinu za medani.......wenzako walishtuka mapema kuwa watatolewa kafara kuwafurahisha wanasiasa wakafanya ya kufanya (njoo pm nikupe mbinu) au chukua vial moja au mbili mwageni chanjo yote wekeni water for injection alafu chanja hayo maji mbele ya huyo mnafiki na picha jipigeni na mpost kwenye group la mkuu wa mkoa!

Kuchanjwa chanjo ambayo hata maelezo ya matumizi yake ambayo uambatanishwa kwenye kibox cha dawa hayapo ni upunguani!
... wewe si ndebile, ni MBULU'YA'NDA kabisa!
1f605.png
 
Mkuu, hudhani kuwa hiyo inatuma ujumbe ambao mtu anapaswa kuutafakari? Wenzetu kama watu wa afya ambao wana experience ya miaka wanapofanya hivyo halafu sisi tusio na experience yoyote tunataka kuwa walimu, huoni kuna walakini?
Jiwe ndio aliwajaza ujuha.
 
Kumekuwa na malalamiko kuwa mganga mkuu wa Tumbi Hospital amekuwa akitoa vitisho kwa watumishi ambao bado hawajashawishika kuchanja chanjo ya corona!

Mganga mkuu huyo Dr Malima amekuwa akitishia hata ajira kwa ambao hawatakubali kabisa kuchanjwa japo serikali ilishasema chanjo ni hiari.

Kuna tetesi za chini chini kuwa yeye mwenyewe alishachanja na ameathirika na chanjo hiyo. Kwa hiyo analazimisha na wengine wachanje ili kifo cha wengi iwe harusi !!

Inasemekana LEO asubuhi kwenye clinical meeting ameagiza chanjo ziletwe na atawaamuru wasiochanjwa wachanje bila hiari yao ya dhati!! Watu sampuli hii hawafai.

Rais alishatoa maagizo wahusika wasitumie mabavu!! Waelimishe na kushawishi ili watu wachanje kwa hiari. Katika tiba hakuna huduma unayoweza kumpa mtu kwa mabavu. This is contrary to medical ethics!!
Tuache uongo hivi mtu unachanjwa unaathirikaje na hiyo chanjo?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom