Pumbav, tangu lini majaribio ya chanjo yakalazimishwa......majaribio mara zote ni jambo la kuomba ridhaa kutoka kwa wahusika baada ya kuwapa maelezo yote kuhusu majaribio kwa uwazi, hii inajulikana kwa kimombo kama 'informed consent' .Jambo jingine, majaribio kama haya ya kitabibu ambayo mhusika anaweza kupata madhara ya muda mrefu na mfupi au hata kupelekea kifo ni lazima kulipa wahusika waliojitolea fidia, huyo daktari anayelazimisha watu kushiriki kwenye jaribio la chanjo apimwe mkojo mara moja.......