Mwaka 2010, baada ya kuangushwa katika kinyang'anyiro cha Ubunge wa Jimbo la Iramba mashariki, na pia kuenguliwa na NEC ya CCM kule Dodoma, Mgana Msindai alihqmia CHADEMA, akapewa kadi. Wakapanga na Tundu Lissu ili wakafanye press conference Singida.
Baadhi ya watu wa CHADEMA na waandishi walifika eneo la Ukumbi, yeye akasema gari imeharibika njiani akitokea Dodoma kuja Singida.
Baadaye alipotea katika mazingira ya siasa, hadi alipokuja kuibuka juzi akiwa anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM, Yeye ni Mwanachama halali wa CHADEMA, na alichukua kadi na kuilipia kwa miaka 5, na alitaka kugombea Ubunge wa jimbo hilo hilo kupitia CHADEMA. Awe Muungwana arudishe kadi yetu mahali alipopewa arudishiwe sehemu ya ada ya miaka iliyobaki.
KADI..KADI..KADI...KADI!! naona mmeshasahaulishwa kuwaza mambo ya maana kuhusu mustakabali wa nchi yetu, mnajadili CARD za vyama.
Mwaka 2010, baada ya kuangushwa katika kinyang'anyiro cha Ubunge wa Jimbo la Iramba mashariki, na pia kuenguliwa na NEC ya CCM kule Dodoma, Mgana Msindai alihqmia CHADEMA, akapewa kadi. Wakapanga na Tundu Lissu ili wakafanye press conference Singida.
Baadhi ya watu wa CHADEMA na waandishi walifika eneo la Ukumbi, yeye akasema gari imeharibika njiani akitokea Dodoma kuja Singida.
Baadaye alipotea katika mazingira ya siasa, hadi alipokuja kuibuka juzi akiwa anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM, Yeye ni Mwanachama halali wa CHADEMA, na alichukua kadi na kuilipia kwa miaka 5, na alitaka kugombea Ubunge wa jimbo hilo hilo kupitia CHADEMA. Awe Muungwana arudishe kadi yetu mahali alipopewa arudishiwe sehemu ya ada ya miaka iliyobaki.
Actually hilo ndilo lengo kuu la akina Nape na hoja hii ya kadi isiyo na mashiko kwa watz;wanataka tusahau kuwahoji kwa nn maisha ya TZ yapo hovyo ili hali TRA wametoa taarifa kuwa wamekusanya kodi kwa asilimia zaidi ya 100!
Mm sina maji,umeme,matibabu na wajukuu zangu wanamaliza darasa la 7 bila kujua kusoma wala kuandika lkn wanafaulishwa kwenda secondari kwenye shule za kata LKN leo hii badala ya at least kutuambia mmejipanga vipi kumaliza kero hiz;NAPE UNAKUJA NA MADAI YA KITOTO KAMA HAYA YA KADI?
Tueleze maazimio yenu ya Dodoma hivi karibuni mlijadili lolote kuhusu umeme ulivyo athiri biashara yangu ya kinyozi hapa Kyela mjini?