Mwaka 2010, baada ya kuangushwa katika kinyang'anyiro cha Ubunge wa Jimbo la Iramba mashariki, na pia kuenguliwa na NEC ya CCM kule Dodoma, Mgana Msindai alihqmia CHADEMA, akapewa kadi. Wakapanga na Tundu Lissu ili wakafanye press conference Singida.
Baadhi ya watu wa CHADEMA na waandishi walifika eneo la Ukumbi, yeye akasema gari imeharibika njiani akitokea Dodoma kuja Singida.
Baadaye alipotea katika mazingira ya siasa, hadi alipokuja kuibuka juzi akiwa anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM, Yeye ni Mwanachama halali wa CHADEMA, na alichukua kadi na kuilipia kwa miaka 5, na alitaka kugombea Ubunge wa jimbo hilo hilo kupitia CHADEMA. Awe Muungwana arudishe kadi yetu mahali alipopewa arudishiwe sehemu ya ada ya miaka iliyobaki.
Baadhi ya watu wa CHADEMA na waandishi walifika eneo la Ukumbi, yeye akasema gari imeharibika njiani akitokea Dodoma kuja Singida.
Baadaye alipotea katika mazingira ya siasa, hadi alipokuja kuibuka juzi akiwa anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM, Yeye ni Mwanachama halali wa CHADEMA, na alichukua kadi na kuilipia kwa miaka 5, na alitaka kugombea Ubunge wa jimbo hilo hilo kupitia CHADEMA. Awe Muungwana arudishe kadi yetu mahali alipopewa arudishiwe sehemu ya ada ya miaka iliyobaki.