Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 250
Mwosha huoshwa
mimi kwa kweli siungi mkono kifo chochote kile. Hapa wa kulaumiwa si mgambo bali ni watunga sera ambao wanawa-expose hawa mgambo kwenye unnecessary risks. Kitendo cha kuwatuma kufanya wanayofanya bila kuwa na zana za kujilinda ni upuuzi mkubwa, ingekuwa nchi za wenzetu huyo aliyewatuma angejizulu leo hii hii.
Na huu ni mwaka wa uchaguzi, tutarajie vifo vingi tu vya aina hii kwa ubinafsi wa watawala wetu.
Matokeo ya Kidato cha nne 2009
Division I + II + III = 42,627 sawa na Asailimia 17.85
Divisheni IV = 130,651 sawa na Asilimia 54.66
Divisheni 0 ( Sifuri) = 65,708 sawa na Asilimia 27.49
Najiuliza hivi hawa Zero + Four ambao ni Asilimia 82.15 Wanakwenda wapi?
Mwaka Jana tumezalisha wangapi? Mwaka Juzi Je na Je Serikali ina mkakati gani kuhakikisha Mwakani inapunguza hiyo Zero na Four
Je Baada ya Miaka Kumi tutakuwa na Taifa Gani
Askari wa kikosi cha mgambo cha manispaa ya Kinondoni ambaye hadi sasa amefariki baada ya kupigwa
na kitu kizito leo asubuhi walipo kuwa kwenye operesheni ya kuondoa vibanda vya wafanyabiashara ndogondogo kwenye stendi ya daladala ya Mwenge.
Mpaka nakuleteeni habari hii hali si shwari pale mwenge stand, ni vurugu mtindo mmoja.
Hiki kiswahili mbona kimekaa upande upande.... ambaye hadi sasa amefariki baada ya kupigwa (!?)Askari wa kikosi cha mgambo cha manispaa ya Kinondoni ambaye hadi sasa amefariki baada ya kupigwa
na kitu kizito leo asubuhi walipo kuwa kwenye operesheni ya kuondoa vibanda vya wafanyabiashara ndogondogo kwenye stendi ya daladala ya Mwenge.
Mpaka nakuleteeni habari hii hali si shwari pale mwenge stand, ni vurugu mtindo mmoja.
mwendo wa makafara umeanza hivyo, jichunge wewe na hatua zako.
serikali iko uturuki kulamba PhD... ikirudi yataisha hayaduh tunaelekea wapi kama vurugu hadi kifo... ni masikitiko makuu
Amiri jeshi mkuu bado anahitaji mda kuvuta donors....Muungwana yuko majuu anawaambia vijana nyumbani msiwe na shaka mambo SHWARI!! Huku mgambo wanapigwa nondo na watu wanachinjana Tarime!!
Hivi Rais hana wasaidizi lazima kwenye kila tukio hawepo?serikali iko uturuki kulamba PhD... ikirudi yataisha haya