safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,846
Sasa hivi sio watoto tu wanaolalamika kuwa hakuna ajira bali mpaka wazazi wa watoto hao wanalalamika ajira hakuna jambo ambalo linafanya familia nzima inalaumu tu mwanzo mwisho na hakuna anaezinduka hapo.
Ni bora aliyejiajiri akawa anapitia magumu wakati huu kuliko yule ambaye hana ajira kabisa wakati huu can you imagine the situation?
Hii ni kwa sababu mzazi alimjenga mwanawe tokea zamani kuwa soma upate ajira,soma upate ajira mwanangu.
Hii ni sumu mbaya sana kwa watoto mwisho wa siku mtoto anaona kuwa bado hajaanza maisha mpaka apate ajira kwanza,wakati maisha yanaanza unapojitambua na kuwa na malengo yako.
Kwa ambao wana ajira wakomae na ajira zao.
Mwambie mwanao sasa hivi wasomi wengi sana na ajira zinakuwa chache mno hasa katika mambo ambayo wengi wanasomea, kumbuka ukisoma H.R kuna mamia huko nyuma wamesoma kwa hiyo usitegemee kuwa wewe ni mtu muhimu sana uajiriwe wewe peke ako,pengine ukakosa jipange kisaikolojia.
Kiukweli maisha yanakoenda inaonekana kuwa watu wanashida sana na ajira kuliko hiyo ajira ilivyokuwa na shida na watu.
Bwana einsten aliwahi kusema kuwa : where there is a difficult,there is an opportunitiy.
usitake mambo rahisi rahisi tu alafu mafanikio yaje simple kana kwamba unafanya peke yako jambo hilo.
Watu ni wengi,wasomi ni wengi ajira ni chache sana.serikali yenye akili haiwezi kuwaajiri watu ambao hawana shida nao,haiwezi kuajiri watu ambao hata wasipokuwepo kazi zitaenda bila shida.hata wewe upo hivyo.
Mwambie mwanao maisha yanaanza akijitambua na kuwa na malengo na maisha hayaanzi akiajiriwa,mwambie hata akiwa shule ana haki ya kujiajiri na kuwa mjasiriamali.
Mtoto harithi ajira ya baba,mtoto anarithi biashara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora aliyejiajiri akawa anapitia magumu wakati huu kuliko yule ambaye hana ajira kabisa wakati huu can you imagine the situation?
Hii ni kwa sababu mzazi alimjenga mwanawe tokea zamani kuwa soma upate ajira,soma upate ajira mwanangu.
Hii ni sumu mbaya sana kwa watoto mwisho wa siku mtoto anaona kuwa bado hajaanza maisha mpaka apate ajira kwanza,wakati maisha yanaanza unapojitambua na kuwa na malengo yako.
Kwa ambao wana ajira wakomae na ajira zao.
Mwambie mwanao sasa hivi wasomi wengi sana na ajira zinakuwa chache mno hasa katika mambo ambayo wengi wanasomea, kumbuka ukisoma H.R kuna mamia huko nyuma wamesoma kwa hiyo usitegemee kuwa wewe ni mtu muhimu sana uajiriwe wewe peke ako,pengine ukakosa jipange kisaikolojia.
Kiukweli maisha yanakoenda inaonekana kuwa watu wanashida sana na ajira kuliko hiyo ajira ilivyokuwa na shida na watu.
Bwana einsten aliwahi kusema kuwa : where there is a difficult,there is an opportunitiy.
usitake mambo rahisi rahisi tu alafu mafanikio yaje simple kana kwamba unafanya peke yako jambo hilo.
Watu ni wengi,wasomi ni wengi ajira ni chache sana.serikali yenye akili haiwezi kuwaajiri watu ambao hawana shida nao,haiwezi kuajiri watu ambao hata wasipokuwepo kazi zitaenda bila shida.hata wewe upo hivyo.
Mwambie mwanao maisha yanaanza akijitambua na kuwa na malengo na maisha hayaanzi akiajiriwa,mwambie hata akiwa shule ana haki ya kujiajiri na kuwa mjasiriamali.
Mtoto harithi ajira ya baba,mtoto anarithi biashara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app