Mara nyingi nimesikia Serikali/Statistics officer wakisema mfumuko umepungua, wanataja mazao peke yake
Sukari
Ngano
Mafuta ya kula/kupika
Gesi ya kupikia
Mafuta taa
Nguo madukani
Vyote hivyo hapo juu hawataji....
Wananchi wana macho na ndio wanaohusika kila siku, wananchi wanajua kama mfumuko wa bei umepungua au la...kabla serikali haijasema/statictics
Hata uchumi kukua au shillingi kuongezeka thamani, wananchi wanaona katika maisha yao
Sukari
Ngano
Mafuta ya kula/kupika
Gesi ya kupikia
Mafuta taa
Nguo madukani
Vyote hivyo hapo juu hawataji....
Wananchi wana macho na ndio wanaohusika kila siku, wananchi wanajua kama mfumuko wa bei umepungua au la...kabla serikali haijasema/statictics
Hata uchumi kukua au shillingi kuongezeka thamani, wananchi wanaona katika maisha yao