DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
BowBow, et al:
Simenti imepanda bei kwa sababu inauzwa nje - Afrika Kusini kuliko na ujenzi wa viwanja, n.k; na DRCongo inapendwa sana kwa ubora wake.
Na kwa wenye viwanda, of course ni priority kwao ku-export kuliko kuuza kwa madafu, and there is nothing you and I can do about it!
..hiyo si sababu ya pekee. infact hiyo imechangia kuadimika,baadhi ya maeneo simenti.
..tatizo liko kwenye gharama za uzalishaji na usafirishaji!