Mfumo wa masomo VETA

Mfumo wa masomo VETA

Tafadhali ni naomba kueleweshwa vizuri... Kuna mdogo wangu amemaliza level 2 katika automobile engineering na cheti cha form form alichonacho ni cha D mbili za masomo ya Sanaa... Je anawezaje kuendelea kwa chuo kama NIT upande wa ordinary diploma??
subiri wajee
 
Tafadhali ni naomba kueleweshwa vizuri... Kuna mdogo wangu amemaliza level 2 katika automobile engineering na cheti cha form form alichonacho ni cha D mbili za masomo ya Sanaa... Je anawezaje kuendelea kwa chuo kama NIT upande wa ordinary diploma??
Amesomea chuo gani au veta ipi???
 
Back
Top Bottom