kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,849
- 3,066
Wadau naomba kujuzwa kuhusu Veta, nasikia ukisoma miaka mitatu ukifaulu mtihani wa CBA unaweza kwenda kusoma uinjinia katika vyuo vya tech kama DIT, nashukuru kama mtanijuza vizuri.
subir wanakujaWadau naomba kujuzwa kuhusu Veta, nasikia ukisoma miaka mitatu ukifaulu mtihani wa CBA unaweza kwenda kusoma uinjinia katika vyuo vya tech kama DIT, nashukuru kama mtanijuza vizuri.
Wadau naomba kujuzwa kuhusu Veta, nasikia ukisoma miaka mitatu ukifaulu mtihani wa CBA unaweza kwenda kusoma uinjinia katika vyuo vya tech kama DIT, nashukuru kama mtanijuza vizuri.
Mimi najua kuwa veta wanatumia mfumo wa kutahini wanafunzi kwa kutumia CBET hiyo CBA sijui labda uniambie hiyo CBA ikoje na imeanza lini kabla sijakupa maelezo ya swali lako.
mfumo wa CBA uko hivi mwaka wa pili wanafanya mtihan wa level two ukifel utarudia yale masomo uliyofeli utapoingia mwaka wa tatu lakini kama ulifaulu level 2 mwaka wa pili na ukifaulu mtihan mwaka wa tatu nasikia unaweza kwenda kusoma uinjinia
Basi hiyo CBA siifahamu mimi najus tu CBET ambao ni mfumo mpya baada ya kuachana na mfumo wa zamani wa GRADE.
Mfumo wa CBET ili ufaulu unapaswa kupatia maswali yote na ikitokea umekosea sehemu ndogo tu maana yake umefeli mtihani mzima.
Kwa utaratibu huo nnaoufahamu kwa CBET ukipata hada level 2 inatosha kukupekeka chuo kama DIT ila kwa sharti la kuwe na cheti cha kidato cha nne.
ahsante vp wanaangalia jinsi ulivyofaulu form four au yaleyale matokeo ya veta yanatosha ?
Sijui kwa baadhi ya vyuo ila hata kama una D mbili au tatu za masomo ya sanaa unaweza kuchukuliwa kama umetokea veta, nakushauri upitie tovuti za vyuo mbalimbali uone vigezo walivyoviweka.Pia ni vizuri ungeeleza aina ya uandisi unaotaka kuusomea maana vigezo vinatofautiana.
Wanaaangalia ulvofaulu form four,ukiwa na cheti cha level 3 unaruhusiwa kwenda vyuo vya tech
ahsante nilikuwa nataka nisome civil engineering
Wewe nenda tu kama umemaliza veta na hujapass masomo ya science na hesabu kuna pre entry course utasoma kwa miezi michache utasoma hesabu,physics nk kisha watakupa mtihani ukipass ndio utaingia kuanza kozi yako rasmi.
Yaaah mkuu aende tuWewe nenda tu kama umemaliza veta na hujapass masomo ya science na hesabu kuna pre entry course utasoma kwa miezi michache utasoma hesabu,physics nk kisha watakupa mtihani ukipass ndio utaingia kuanza kozi yako rasmi.
chet kimoja cha Veta kinatoshaNi kweli ukifaulu vizr mtihan wa mwisho na ikapata level 3, unaruhusiwa kuomba dip bt lazima uwe na chet cha form iv na ufaulu pcm atleast Ds
unabishia uZoefuHanna mpaka Cheti cha form four