DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
- Thread starter
- #21
Nimekupata mkuu👍 umeeleza vizuri. Ila sio tu kuhitaji katiba mpya pia tunahitaji mchakato wa katiba mpya uangaliwe upya yaani uanze upyaKatiba mpya ndo inaandikwa hivyo.
1.Kuwepo na vyama viwili au vitatu pekee vya siasa na viimarishwe.
2. TANZANIA iwe na DIRA ya miaka 100 ijayo. Vyama vya siasa vyote vitengeneze Katiba zao na viwe na sera na mipango ya kitaifa ya pamoja, Watofautiane tu jinsi ya kuitekeleza, njia mbadala iliyo Bora.
3. TANZANIA yangu, wananchi waamue Tufuate UBEPARI au UJAMAA na vyama vyote vijengwe ktk misingi hiyo.
4.Malengo ya Vyama vya Siasa yabadilishwe, Lengo kuu lisiwe KUSHIKA Dola pekee, lengo kuu ni KUSIMAMIA MASLAH YA WANANCHI ktk nyanja mbalimbali za kiuchumi,kisiasa n kijamii.
Naudhika sana na lengo kuu la vyama vya siasa Kwa sasa, wanawaza tu kushika DOLA Kwa namna yoyote hata Kwa kumwaga Damu ya wananchi walowatuma.