Mfumo wa kisiasa [vyama vya kisiasa] ulio bora kwa Tanzania

DENG XIAOPING

JF-Expert Member
Mar 6, 2022
2,398
2,593
- Pendekezo langu kwa aina ya mfumo wa Kisiasa/ Vyama vya Kisiasa ulio bora unaopaswa kufuatwa katika nchi ya Tanzania ni uwepo wa Vyama vingi vilivyo huru na vyenye kupewa haki sawa.

- Katika mfumo huo wa vyama vingi kunapaswa kuwepo na mfumo wa vyama vikuu viwili shindani vyenye mlengo tofauti au sera tofauti hapa na maanisha pawepo na chama kimoja kikuu cha kijamaa na kingine kiwe chenye mlengo wa kibepari.

- Pia katika mfumo huo wa vyama vingi pia napendekeza katika chaguzi pawepo na kipengele kinacho husisha mgombea asiye na chama chochote/mgombea binafsi.

- Katika mambo ni siyoyapendekeza katika mfumo huo wa kisiasa/vyama vya kisiasa Ni uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa yaani namaanisha pasiwepo na usajiri wa vyama vingi nchi visivyo zidi viwili tu vikubwa .

- Kama Kuna utiri wa vyama njia ya kuviondoa hivyo vyama ni kuungana na kuunda chama kimoja kikuu chenye sera moja Mfano .Kama tunavyo fahamu CCM tayari ni chama kikuu kikubwa hapa nchi tayari hicho ni chama kimoja chenye nguvu tumepata kimebaki kimoja na hiki kimoja kitapatika katika njia hii chadema ni chama chenye nguvu kwa upinzani hapa nchi kwa hio vyama vyote vidogo vidogo vinapaswa kuungana na chadema ili kuunda chama kingine chenye nguvu na hivyo kupata vyama vikuu viwili hapa nchi vyenye mlengo tofauti na sera tofauti.

- Mpaka hapo tumepata vyama vikuu viwili nchini ambavyo ni CCM mlengo wake unapaswa kuwa katika ujamaa na Muunganiko wa vyama vya upinzani unaounda chama kimoja kikuu mlengo wake unapaswa kuwa wa kibepari alafu nyongeza pawepo mgombea binafsi ambaye anachukua nafasi ya tatu ambaye atakuwa ajihusishi na chama chochote cha siasa Kati ya hivyo viwili tajwa hapo juu.

Mwisho; kiuhalisia Mimi sifagili uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa hapa nchi kwetu bali nafagilia uwepo wa vyama vikuu viwili pamoja na mgombea binafsi Kama nafasi ya tatu.mfano:-
i, CCM
ii, Muunganiko wa vyama vya upinzani na kuunda chama kingine cha siasa kimoja tu
iii, Mgombea binafsi

- Ni hayo tu je wewe unafagilia uwepo wa utitiri wa vyama vingi hapa nchi? Je unafagilia uwepo wa mfumo upi wa kisiasa? Je mfumo wa vyama vingi ndio unapenda? Je chama kimoja ndio unapenda?na je Kama ni mfumo wa vyama vingi ni wa aina ipi viwe viwili tu Kama Mimi , vitatu ,vinne au idadi gani unataka wewe ? .

:- MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Kwanini kuna Vyama vingi vya Siasa ?

Tatizo Vyama vya Siasa vilivyopo ni Platform ya watu kwenda kula Keki ya Taifa na sio kusimamia misimamo / itikadi tofauti...

Sababu ni vigumu kulazimisha watu waungane kama fikra za njia ya kuongoza na kugawana Keki ya Taifa ni tofauti

Sasa waungane ili wafanye nini kama wao wenyewe fikra zao ni ardhi na mbingu..., pili kuwapangia / kukataza baadhi ya vyama inakwenda against uhuru wa watu labda cha kufanya ni kuongoza vigezo na masharti ili kuchuja wasiokidhi
 
Kwanini kuna Vyama vingi vya Siasa ?

Tatizo Vyama vya Siasa vilivyopo ni Platform ya watu kwenda kula Keki ya Taifa na sio kusimamia misimamo / itikadi tofauti...

Sababu ni vigumu kulazimisha watu waungane kama fikra za njia ya kuongoza na kugawana Keki ya Taifa ni tofauti

Sasa waungane ili wafanye nini kama wao wenyewe fikra zao ni ardhi na mbingu..., pili kuwapangia / kukataza baadhi ya vyama inakwenda against uhuru wa watu labda cha kufanya ni kuongoza vigezo na masharti ili kuchuja wasiokidhi
Nimekupata. Kwa hio unapendekeza njia ipi itumike katika ardhi ya Tanzania?
 
Kuwa na vyama viwili vya siasa kutasababisha vurugu nchini.. tuendelee kuwa na utitiri wa vyama ili kudumisha utulivu
 
CCM ni chama DOLA.
Kuwe na mgombea mmoja kwingine tuweke kivuli.Hadi tutakapopata katiba mpya.
 
mawazo mazuri kabsa.
Ili tufikie kuwa na usawa wa vyama vya siasa vyenye tija kwa Taifa kwanza tuvunje kabsa vyama vyote vya siasa usajiri ufanyike upya.
Hilo liende sambamba na kurudisha serkalini mali zote zilizoshikiriwa na ccm kama chama kimojawapo tu cha siasa ilihali zilipatikana kwa nguvu za wananchi wanaopatikana vyama mbali mbali leo. Wote tulikatwa kwenye jasho letu!
Ccm kuwa na nguvu zote hizi kiuchumi tena kwa mali za wananchi wote inadumaza ushindani sawa kisiasa.
Na mwisho, zanzibar ichague kati ya serkali moja (kama ninavyopenda) yani i dissolve kama Tanganyika au tukubali mkataba.
Mwisho kabsa Tanzania ichague kuwa nchi ya kibepari au kijamaa, sio vuguvugu.
 
Mawazo Bora kabisa 👍 mkuu kutoka kwako👏
mawazo mazuri kabsa.
Ili tufikie kuwa na usawa wa vyama vya siasa vyenye tija kwa Taifa kwanza tuvunje kabsa vyama vyote vya siasa usajiri ufanyike upya.
Hilo liende sambamba na kurudisha serkalini mali zote zilizoshikiriwa na ccm kama chama kimojawapo tu cha siasa ilihali zilipatikana kwa nguvu za wananchi wanaopatikana vyama mbali mbali leo. Wote tulikatwa kwenye jasho letu!
Ccm kuwa na nguvu zote hizi kiuchumi tena kwa mali za wananchi wote inadumaza ushindani sawa kisiasa.
Na mwisho, zanzibar ichague kati ya serkali moja (kama ninavyopenda) yani i dissolve kama Tanganyika au tukubali mkataba.
Mwisho kabsa Tanzania ichague kuwa nchi ya kibepari au kijamaa, sio vuguvugu.
 
Kupita bila kupingwa huwa sioni njia bora kwa mustakabali wa uchaguzi wakidemokrasia.
Kweli kabisa inakuwa Kama unashindanisha mgombea halisi aliye hai na picha za wagombea wengine ambao ni wafu . Ni sawa sawa na Kula ugali na picha ya samaki😁
 
Kwanini kuna Vyama vingi vya Siasa ?

Tatizo Vyama vya Siasa vilivyopo ni Platform ya watu kwenda kula Keki ya Taifa na sio kusimamia misimamo / itikadi tofauti...

Sababu ni vigumu kulazimisha watu waungane kama fikra za njia ya kuongoza na kugawana Keki ya Taifa ni tofauti

Sasa waungane ili wafanye nini kama wao wenyewe fikra zao ni ardhi na mbingu..., pili kuwapangia / kukataza baadhi ya vyama inakwenda against uhuru wa watu labda cha kufanya ni kuongoza vigezo na masharti ili kuchuja wasiokidhi
Je katiba yetu ya sasa ina vipengele vinavyoruhusu vyama kuungani? Jibu no haiwezekani
 
Humu tunajadiri sana mambo ambayo yako nayaita kuwa ....NEXT TO IMPOSSIBILITY!
Kitu pekee nilitarajia kupitia majukwaa hasa 'wapenda matokeo' na kwa halis halis ilivyo,
ni ..NINI KIFANYIKE KUPATA MATOKEO CHANYA KUHUSU KATIBA?
Naona kuna udhaifu uliokomaa kuwa tu waongeaji na hatuna way forward. Tusijisahaulishe kuwa tunathubutu kutengue mfumo wa maisha bora kwa kundi flan lililojiimarisha kwa muda mrefu sana.
Tunahitaji watu wenye nia njema wa kusema thabiti kuwa ...enough is enough. Tatzo ni how enough is enough!
Ni au tukubari kubadilisha mambo sasa au tunyamaze. Huu u keyboard warriorship sasa unakera.
Hakuna jambo linaniuma kuona madai ya katiba yamegeuzwa suala la kisiasa mazma! Wakati wanasiasa ni wadau tu.
Hakuna kinaniuma kama viongoz wa dini hasa kubwa kujitenga na suala hili (dini ni maisha, siasa ni maisha, so siasa ni dini!)
Nataman kuona wadau tunajadili kwa kukubaliana kuwa tumeshatekwa, tunajikomboaje?
Je, kama aliyetuteka hayuko tayar kutuachia tunafanyeje?
..Hata kama kigogo 2014 ni mission accomplished lakin sitasahau uwezo wake mkubwa wa kudeal na mambo magumu kiufanisi. Bas tu kwa sasa akili hiyo hiyo iko kwenye comfort zone! Ila ni mwanaume.
 
Humu tunajadiri sana mambo ambayo yako nayaita kuwa ....NEXT TO IMPOSSIBILITY!
Kitu pekee nilitarajia kupitia majukwaa hasa 'wapenda matokeo' na kwa halis halis ilivyo,
ni ..NINI KIFANYIKE KUPATA MATOKEO CHANYA KUHUSU KATIBA?
Naona kuna udhaifu uliokomaa kuwa tu waongeaji na hatuna way forward. Tusijisahaulishe kuwa tunathubutu kutengue mfumo wa maisha bora kwa kundi flan lililojiimarisha kwa muda mrefu sana.
Tunahitaji watu wenye nia njema wa kusema thabiti kuwa ...enough is enough. Tatzo ni how enough is enough!
Ni au tukubari kubadilisha mambo sasa au tunyamaze. Huu u keyboard warriorship sasa unakera.
Hakuna jambo linaniuma kuona madai ya katiba yamegeuzwa suala la kisiasa mazma! Wakati wanasiasa ni wadau tu.
Hakuna kinaniuma kama viongoz wa dini hasa kubwa kujitenga na suala hili (dini ni maisha, siasa ni maisha, so siasa ni dini!)
Nataman kuona wadau tunajadili kwa kukubaliana kuwa tumeshatekwa, tunajikomboaje?
Je, kama aliyetuteka hayuko tayar kutuachia tunafanyeje?
..Hata kama kigogo 2014 ni mission accomplished lakin sitasahau uwezo wake mkubwa wa kudeal na mambo magumu kiufanisi. Bas tu kwa sasa akili hiyo hiyo iko kwenye comfort zone! Ila ni mwanaume.
Safi👍Jambo jema ulilozungumza
 
Nimekupata. Kwa hio unapendekeza njia ipi itumike katika ardhi ya Tanzania?
Kwa ardhi ya Tanzania kwa Sasa wala hatuhitaji Siasa nyingi bali utendaji na uzalishaji, Ukizingatia Siasa ni Majadiliano / Maamuzi ya jinsi nini kifanyike na ni vipi tutagawana resources chache, hivyo kwanza tuwekeze zaidi kwenye kuongeza hizo resources... ama sivyo tutaendelea kujadiliana zaidi bila kufanya.....

Kwa dunia mfumo wa Siasa bora kutokana na teknolojia iliyopo the future ni kwenye automation ndio njia pekee ya kuhakikisha ushiriki wa kila raia katika maamuzi ya rasilimali

 
Hayo ni maoni yako lakini uhalisia ni tofauti.
- Pendekezo langu kwa aina ya mfumo wa Kisiasa/ Vyama vya Kisiasa ulio bora unaopaswa kufuatwa katika nchi ya Tanzania ni uwepo wa Vyama vingi vilivyo huru na vyenye kupewa haki sawa.

- Katika mfumo huo wa vyama vingi kunapaswa kuwepo na mfumo wa vyama vikuu viwili shindani vyenye mlengo tofauti au sera tofauti hapa na maanisha pawepo na chama kimoja kikuu cha kijamaa na kingine kiwe chenye mlengo wa kubepari.

- Pia katika mfumo huo wa vyama vingi pia napendekeza katika chaguzi pawepo na kipengele kinacho husisha mgombea asiye na chama chochote/mgombea binafsi.

- Katika mambo ni siyoyapendekeza katika mfumo huo wa kisiasa/vyama vya kisiasa Ni uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa yaani namaanisha pasiwepo na usajiri wa vyama vingi nchi visivyo zidi viwili tu vikubwa .

- Kama Kuna utiri wa vyama njia ya kuviondoa hivyo vyama ni kuungana na kuunda chama kimoja kikuu chenye sera moja Mfano .Kama tunavyo fahamu CCM tayari ni chama kikuu kikubwa hapa nchi tayari hicho ni chama kimoja chenye nguvu tumepata kimebaki kimoja na hiki kimoja kitapatika katika njia hii chadema ni chama chenye nguvu kwa upinzani hapa nchi kwa hio vyama vyote vidogo vidogo vinapaswa kuungana na chadema ili kuunda chama kingine chenye nguvu na hivyo kupata vyama vikuu viwili hapa nchi vyenye mlengo tofauti na sera tofauti.

- Mpaka hapo tumepata vyama vikuu viwili nchini ambavyo ni CCM mlengo wake unapaswa kuwa katika ujamaa na Muunganiko wa vyama vya upinzani unaounda chama kimoja kikuu mlengo wake unapaswa kuwa wa kibepari alafu nyongeza pawepo mgombea binafsi ambaye anachukua nafasi ya tatu ambaye atakuwa ajihusishi na chama chochote cha siasa Kati ya hivyo viwili tajwa hapo juu.

Mwisho; kiuhalisia Mimi sifagili uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa hapa nchi kwetu bali nafagilia uwepo wa vyama vikuu viwili pamoja na mgombea binafsi Kama nafasi ya tatu.mfano:-
i, CCM
ii, Muunganiko wa vyama vya upinzani na kuunda chama kingine cha siasa kimoja tu
iii, Mgombea binafsi

- Ni hayo tu je wewe unafagilia uwepo wa utitiri wa vyama vingi hapa nchi? Je unafagilia uwepo wa mfumo upi wa kisiasa? Je mfumo wa vyama vingi ndio unapenda? Je chama kimoja ndio unapenda?na je Kama ni mfumo wa vyama vingi ni wa aina ipi viwe viwili tu Kama Mimi , vitatu ,vinne au idadi gani unataka wewe ? .

:- MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
- Pendekezo langu kwa aina ya mfumo wa Kisiasa/ Vyama vya Kisiasa ulio bora unaopaswa kufuatwa katika nchi ya Tanzania ni uwepo wa Vyama vingi vilivyo huru na vyenye kupewa haki sawa.

- Katika mfumo huo wa vyama vingi kunapaswa kuwepo na mfumo wa vyama vikuu viwili shindani vyenye mlengo tofauti au sera tofauti hapa na maanisha pawepo na chama kimoja kikuu cha kijamaa na kingine kiwe chenye mlengo wa kubepari.

- Pia katika mfumo huo wa vyama vingi pia napendekeza katika chaguzi pawepo na kipengele kinacho husisha mgombea asiye na chama chochote/mgombea binafsi.

- Katika mambo ni siyoyapendekeza katika mfumo huo wa kisiasa/vyama vya kisiasa Ni uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa yaani namaanisha pasiwepo na usajiri wa vyama vingi nchi visivyo zidi viwili tu vikubwa .

- Kama Kuna utiri wa vyama njia ya kuviondoa hivyo vyama ni kuungana na kuunda chama kimoja kikuu chenye sera moja Mfano .Kama tunavyo fahamu CCM tayari ni chama kikuu kikubwa hapa nchi tayari hicho ni chama kimoja chenye nguvu tumepata kimebaki kimoja na hiki kimoja kitapatika katika njia hii chadema ni chama chenye nguvu kwa upinzani hapa nchi kwa hio vyama vyote vidogo vidogo vinapaswa kuungana na chadema ili kuunda chama kingine chenye nguvu na hivyo kupata vyama vikuu viwili hapa nchi vyenye mlengo tofauti na sera tofauti.

- Mpaka hapo tumepata vyama vikuu viwili nchini ambavyo ni CCM mlengo wake unapaswa kuwa katika ujamaa na Muunganiko wa vyama vya upinzani unaounda chama kimoja kikuu mlengo wake unapaswa kuwa wa kibepari alafu nyongeza pawepo mgombea binafsi ambaye anachukua nafasi ya tatu ambaye atakuwa ajihusishi na chama chochote cha siasa Kati ya hivyo viwili tajwa hapo juu.

Mwisho; kiuhalisia Mimi sifagili uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa hapa nchi kwetu bali nafagilia uwepo wa vyama vikuu viwili pamoja na mgombea binafsi Kama nafasi ya tatu.mfano:-
i, CCM
ii, Muunganiko wa vyama vya upinzani na kuunda chama kingine cha siasa kimoja tu
iii, Mgombea binafsi

- Ni hayo tu je wewe unafagilia uwepo wa utitiri wa vyama vingi hapa nchi? Je unafagilia uwepo wa mfumo upi wa kisiasa? Je mfumo wa vyama vingi ndio unapenda? Je chama kimoja ndio unapenda?na je Kama ni mfumo wa vyama vingi ni wa aina ipi viwe viwili tu Kama Mimi , vitatu ,vinne au idadi gani unataka wewe ? .

:- MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA
Katiba mpya ndo inaandikwa hivyo.
1.Kuwepo na vyama viwili au vitatu pekee vya siasa na viimarishwe.

2. TANZANIA iwe na DIRA ya miaka 100 ijayo. Vyama vya siasa vyote vitengeneze Katiba zao na viwe na sera na mipango ya kitaifa ya pamoja, Watofautiane tu jinsi ya kuitekeleza, njia mbadala iliyo Bora.

3. TANZANIA yangu, wananchi waamue Tufuate UBEPARI au UJAMAA na vyama vyote vijengwe ktk misingi hiyo.

4.Malengo ya Vyama vya Siasa yabadilishwe, Lengo kuu lisiwe KUSHIKA Dola pekee, lengo kuu ni KUSIMAMIA MASLAH YA WANANCHI ktk nyanja mbalimbali za kiuchumi,kisiasa n kijamii.
Naudhika sana na lengo kuu la vyama vya siasa Kwa sasa, wanawaza tu kushika DOLA Kwa namna yoyote hata Kwa kumwaga Damu ya wananchi walowatuma.
 
Back
Top Bottom