DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
- Pendekezo langu kwa aina ya mfumo wa Kisiasa/ Vyama vya Kisiasa ulio bora unaopaswa kufuatwa katika nchi ya Tanzania ni uwepo wa Vyama vingi vilivyo huru na vyenye kupewa haki sawa.
- Katika mfumo huo wa vyama vingi kunapaswa kuwepo na mfumo wa vyama vikuu viwili shindani vyenye mlengo tofauti au sera tofauti hapa na maanisha pawepo na chama kimoja kikuu cha kijamaa na kingine kiwe chenye mlengo wa kibepari.
- Pia katika mfumo huo wa vyama vingi pia napendekeza katika chaguzi pawepo na kipengele kinacho husisha mgombea asiye na chama chochote/mgombea binafsi.
- Katika mambo ni siyoyapendekeza katika mfumo huo wa kisiasa/vyama vya kisiasa Ni uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa yaani namaanisha pasiwepo na usajiri wa vyama vingi nchi visivyo zidi viwili tu vikubwa .
- Kama Kuna utiri wa vyama njia ya kuviondoa hivyo vyama ni kuungana na kuunda chama kimoja kikuu chenye sera moja Mfano .Kama tunavyo fahamu CCM tayari ni chama kikuu kikubwa hapa nchi tayari hicho ni chama kimoja chenye nguvu tumepata kimebaki kimoja na hiki kimoja kitapatika katika njia hii chadema ni chama chenye nguvu kwa upinzani hapa nchi kwa hio vyama vyote vidogo vidogo vinapaswa kuungana na chadema ili kuunda chama kingine chenye nguvu na hivyo kupata vyama vikuu viwili hapa nchi vyenye mlengo tofauti na sera tofauti.
- Mpaka hapo tumepata vyama vikuu viwili nchini ambavyo ni CCM mlengo wake unapaswa kuwa katika ujamaa na Muunganiko wa vyama vya upinzani unaounda chama kimoja kikuu mlengo wake unapaswa kuwa wa kibepari alafu nyongeza pawepo mgombea binafsi ambaye anachukua nafasi ya tatu ambaye atakuwa ajihusishi na chama chochote cha siasa Kati ya hivyo viwili tajwa hapo juu.
Mwisho; kiuhalisia Mimi sifagili uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa hapa nchi kwetu bali nafagilia uwepo wa vyama vikuu viwili pamoja na mgombea binafsi Kama nafasi ya tatu.mfano:-
i, CCM
ii, Muunganiko wa vyama vya upinzani na kuunda chama kingine cha siasa kimoja tu
iii, Mgombea binafsi
- Ni hayo tu je wewe unafagilia uwepo wa utitiri wa vyama vingi hapa nchi? Je unafagilia uwepo wa mfumo upi wa kisiasa? Je mfumo wa vyama vingi ndio unapenda? Je chama kimoja ndio unapenda?na je Kama ni mfumo wa vyama vingi ni wa aina ipi viwe viwili tu Kama Mimi , vitatu ,vinne au idadi gani unataka wewe ? .
:- MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA
- Katika mfumo huo wa vyama vingi kunapaswa kuwepo na mfumo wa vyama vikuu viwili shindani vyenye mlengo tofauti au sera tofauti hapa na maanisha pawepo na chama kimoja kikuu cha kijamaa na kingine kiwe chenye mlengo wa kibepari.
- Pia katika mfumo huo wa vyama vingi pia napendekeza katika chaguzi pawepo na kipengele kinacho husisha mgombea asiye na chama chochote/mgombea binafsi.
- Katika mambo ni siyoyapendekeza katika mfumo huo wa kisiasa/vyama vya kisiasa Ni uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa yaani namaanisha pasiwepo na usajiri wa vyama vingi nchi visivyo zidi viwili tu vikubwa .
- Kama Kuna utiri wa vyama njia ya kuviondoa hivyo vyama ni kuungana na kuunda chama kimoja kikuu chenye sera moja Mfano .Kama tunavyo fahamu CCM tayari ni chama kikuu kikubwa hapa nchi tayari hicho ni chama kimoja chenye nguvu tumepata kimebaki kimoja na hiki kimoja kitapatika katika njia hii chadema ni chama chenye nguvu kwa upinzani hapa nchi kwa hio vyama vyote vidogo vidogo vinapaswa kuungana na chadema ili kuunda chama kingine chenye nguvu na hivyo kupata vyama vikuu viwili hapa nchi vyenye mlengo tofauti na sera tofauti.
- Mpaka hapo tumepata vyama vikuu viwili nchini ambavyo ni CCM mlengo wake unapaswa kuwa katika ujamaa na Muunganiko wa vyama vya upinzani unaounda chama kimoja kikuu mlengo wake unapaswa kuwa wa kibepari alafu nyongeza pawepo mgombea binafsi ambaye anachukua nafasi ya tatu ambaye atakuwa ajihusishi na chama chochote cha siasa Kati ya hivyo viwili tajwa hapo juu.
Mwisho; kiuhalisia Mimi sifagili uwepo wa utitiri wa vyama vya siasa hapa nchi kwetu bali nafagilia uwepo wa vyama vikuu viwili pamoja na mgombea binafsi Kama nafasi ya tatu.mfano:-
i, CCM
ii, Muunganiko wa vyama vya upinzani na kuunda chama kingine cha siasa kimoja tu
iii, Mgombea binafsi
- Ni hayo tu je wewe unafagilia uwepo wa utitiri wa vyama vingi hapa nchi? Je unafagilia uwepo wa mfumo upi wa kisiasa? Je mfumo wa vyama vingi ndio unapenda? Je chama kimoja ndio unapenda?na je Kama ni mfumo wa vyama vingi ni wa aina ipi viwe viwili tu Kama Mimi , vitatu ,vinne au idadi gani unataka wewe ? .
:- MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA