Guy Isaac
Senior Member
- Aug 10, 2019
- 126
- 60
Wakubwa Shikamoni, vijana wenzangu wa kike na wa kiume habari zenu?
Natumaini sisi sote tunaendelea vizuri na shughuri zetu za kila siku na M/mungu yu pamoja nasi tumeuona mwaka 2021 but si kwa mapenzi yetu bali ni mapenzi yake yeye.
Education is the key of life, Education is better than money , hizi baadhi ya speech zinazotumika sana mashuleni kwetu hasa ngazi ya O-level, anyway let me go direct to my topic.
It's true that 'Mfumo wa Elimu wa Tz ndo chanzo cha vijana kuwa useless to some extent?? and if Yes or no how?
Short explation according to my view plus uelewa wangu. Pindi nikiwa darasani walimu wangu karibia wote walikuwa wakidoubt sana about this structure but enzi zile sikuwa na uwezo wa kuelewa mambo kiundani zaid compared to this time.
Mara nyingi elimu yetu inatutengenezea mazngira ya kuwa job seekers rather than job creators ni course chache sana zinazotolewa vyuoni kwa ajiri ya kumtengenez mwanafunzi kuweza kujitengenezea ajira mara baada ya masomo addtion to that vijana wengi walio jiajiri wengi wao wamejiaari nje ya career zao au professional zao.
Ni kweli na ni dhahiri kijana wa sasa anayemaliza kidato cha sita na yule aliyeishia darasa la saba hawana tofauti zaidi ya kuzidiana vidato na mwonekano tu.
Je, serikali ya Tanzania inachukua hatua gani kuhakikisha elimu inayotolewa na taasisi zetu mbalimbali hasa taasisi za vyuo vikuu na vyuo vya kati vinahakikisha vibatoa wanafunzi walio bora zaidi kuanzia ubunifu mpaka kifkira?
Unaruhusiwa kudrop maoni yako juu ya hili swala.
Natumaini sisi sote tunaendelea vizuri na shughuri zetu za kila siku na M/mungu yu pamoja nasi tumeuona mwaka 2021 but si kwa mapenzi yetu bali ni mapenzi yake yeye.
Education is the key of life, Education is better than money , hizi baadhi ya speech zinazotumika sana mashuleni kwetu hasa ngazi ya O-level, anyway let me go direct to my topic.
It's true that 'Mfumo wa Elimu wa Tz ndo chanzo cha vijana kuwa useless to some extent?? and if Yes or no how?
Short explation according to my view plus uelewa wangu. Pindi nikiwa darasani walimu wangu karibia wote walikuwa wakidoubt sana about this structure but enzi zile sikuwa na uwezo wa kuelewa mambo kiundani zaid compared to this time.
Mara nyingi elimu yetu inatutengenezea mazngira ya kuwa job seekers rather than job creators ni course chache sana zinazotolewa vyuoni kwa ajiri ya kumtengenez mwanafunzi kuweza kujitengenezea ajira mara baada ya masomo addtion to that vijana wengi walio jiajiri wengi wao wamejiaari nje ya career zao au professional zao.
Ni kweli na ni dhahiri kijana wa sasa anayemaliza kidato cha sita na yule aliyeishia darasa la saba hawana tofauti zaidi ya kuzidiana vidato na mwonekano tu.
Je, serikali ya Tanzania inachukua hatua gani kuhakikisha elimu inayotolewa na taasisi zetu mbalimbali hasa taasisi za vyuo vikuu na vyuo vya kati vinahakikisha vibatoa wanafunzi walio bora zaidi kuanzia ubunifu mpaka kifkira?
Unaruhusiwa kudrop maoni yako juu ya hili swala.