Mfumo wa ajira mtandaoni...(portal ajira)

Mfumo wa ajira mtandaoni...(portal ajira)

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
1,007
Reaction score
997
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.
Screenshot_2018-09-15-10-24-39.jpeg
Screenshot_2018-09-15-10-23-56.jpeg
 
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.
Screenshot_2018-09-15-10-24-39.jpeg
Screenshot_2018-09-15-10-23-56.jpeg
 
Hata Mimi ninapata tatizo kama la kwako la age requirement na experience vitu ambavyo
Nimekidhi vizuri..inabidi jumatatu niende ofisi zao nikawaulize nisije kosa fursa hii adimu mkuu
 
Hata Mimi ninapata tatizo kama la kwako la age requirement na experience vitu ambavyo
Nimekidhi vizuri..inabidi jumatatu niende ofisi zao nikawaulize nisije kosa fursa hii adimu mkuu
Ofisi zako wapi?
 
Ukienda naomba unipe majibu mkuu...
Hata Mimi ninapata tatizo kama la kwako la age requirement na experience vitu ambavyo
Nimekidhi vizuri..inabidi jumatatu niende ofisi zao nikawaulize nisije kosa fursa hii adimu mkuu
 
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.View attachment 866909View attachment 866910
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
 
N
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
Umefafanua vzur sana
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
tatzo la kukariri yan mtu ktu kdogo tu anashindwa kujiongeza, umeeleza vzur sana mkuu
 
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
Sasa mbona kwenye o-level CSEE qualification wamegoma....wakati vigezo ninavyo?
 
Mbona kigezo hicho ninacho...unaweza nambia kwanini wamegoma???
N

Umefafanua vzur sana
tatzo la kukariri yan mtu ktu kdogo tu anashindwa kujiongeza, umeeleza vzur sana mkuu
Screenshot_2018-09-15-10-23-56.jpeg
 
Mbon kigezo hiki ninacho...ila wamegoma
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.View attachment 866796View attachment 866797
 
Mkuu omba kazi ambayo una sifa nayo.kama anahitajika form four leaver ukaomba wewe mwenye degree haikubali.kwa hyo soma kwanza job requirement kabla ya kuomba
 
Nimekiattach kwenye sehemu ya academic
Mkuu, sehemu ya academic zimegawanyika..kuwa makini, kuna sehemu ya ku attach transcript, gamba, na cheti cha kidato cha nne,, ukichanganya hizo sehemu unakuwa umekosea.. Japo haikatai kuatach. Issue inakuja unapo omba kazi, itakuambia hujaweka cheti. Hilo tatizo liliwahi kunitokea
 
Mkuu, sehemu ya academic zimegawanyika..kuwa makini, kuna sehemu ya ku attach transcript, gamba, na cheti cha kidato cha nne,, ukichanganya hizo sehemu unakuwa umekosea.. Japo haikatai kuatach. Issue inakuja unapo omba kazi, itakuambia hujaweka cheti. Hilo tatizo liliwahi kunitokea
Labda unambie sehemu ya kuweka kwani kwenye transcript unaweka cheti cha matokeo...afu sehemu nyingine unaweka cheti cha leaving sio?
 
Back
Top Bottom