Mfumo mpya wa malipo wa MUSE utadhibiti kivipi ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,568
44,786
Wakuu kuanzia bajeti ijayo wizara zote,taasisi zote na ofisi zote za serikali zitakuwa na mfumo mpya muse katika kutimiza activities zake kwa mwaka mzima.mfumo huu ulishaanza kwa wakala wa vijijini ruwasa na ndio sasa wizara ya fedha unataka kuutumia kote.swali langu kwenu nyie wabobezi wa mambo je mfumo huo utasaidia kitu gani haswa je utapunguza upigaji na je kivipi naombeni majibu yenu.

]
 
Wakuu kuanzia bajeti ijayo wizara zote,taasisi zote na ofisi zote za serikali zitakuwa na mfumo mpya PlanRep katika kutimiza activities zake kwa mwaka mzima.mfumo huu ulishaanza kwa wakala wa vijijini ruwasa na ndio sasa wizara ya fedha unataka kuutumia kote.swali langu kwenu nyie wabobezi wa mambo je mfumo huo utasaidia kitu gani haswa je utapunguza upigaji na je kivipi naombeni majibu yenu.

]
Mzee MUSE na Planrep ni mifumo miwili tofauti...
Planrep - huu ni mfumo unaotumika kuanda mpango na bajeti wa Taasis za Serikali, Planrep haijaanzia Ruwasa , LGAs zimekuwa zikitumia Planrep katika maandalizi ya mpango na bajeti zao zaidi ya miaka 5 sasa, na sasa ni almost Taasisi zote za Serikali zinatumia mfumo huu katika maandalizi ya Mpango na bajeti.
MUSE ni mfumo wa malipo Serikalini, mfumo huu una almost miaka 3 ukitumika Kwenye Taasisi za Serikali, mfumo huu umetengenezwa na Watanzania baada ya kuonekana mfumo wa awali "EPICOR 10" unachangamoto nyingi sana, Sina hakika kama kuna Taasisi ya Serikali mpaka sasa haitumii mfumo katika kufanya malipo yake, LGAS na Taasisi nyingi ninazozijua zinatumia mfumo huu kwenye malipo yake..
Kuhusu kuzuia ufisadi, mifumo imetengenezwa na binadamu na inatumika na binadamu
 
Kitu pekee inachoongeza ni urahisi wa kufuatilia malipo. Kama kweli ukatumika kikamilifu maana yake kila pesa inayotoka serikalini kufanya malipo, itapita katika mifumo rasmi ya kibenki; itakuwa rahisi kufuatilia kama kuna matatizo. Lakini mifumo ni kama kisu, inategemea na nia ya mtumiaji.
 
Wakuu kuanzia bajeti ijayo wizara zote,taasisi zote na ofisi zote za serikali zitakuwa na mfumo mpya PlanRep katika kutimiza activities zake kwa mwaka mzima.mfumo huu ulishaanza kwa wakala wa vijijini ruwasa na ndio sasa wizara ya fedha unataka kuutumia kote.swali langu kwenu nyie wabobezi wa mambo je mfumo huo utasaidia kitu gani haswa je utapunguza upigaji na je kivipi naombeni majibu yenu.

]
Uunaongelea mifumo miwili tofauti,ila Muse ni mfumo wa malipo serikalini,kila hela inayolipwa inapitia muse ni rahisi kutrack malipo yoyote kutoka kwa mtu yoyote,serikali inakuwa na control na matumizi ya wizara na taasisi zake,kila sent inayotumika inaonekana!huu ni viceversa ya mfumo wa gepg(contol no) ambao ni wa makusanyo kila amount inayokusanywa inaonekana,ndivyo ktk matumizi vivohivo!
 
Huu mfumo ni kero na mateso makubwa kwa watumishi kwani unaleta ucheleweshaji mkubwa wa malipo ya watu kutoka kwenye serikali na taasisi zake.
 
Mzee MUSE na Planrep ni mifumo miwili tofauti...
Planrep - huu ni mfumo unaotumika kuanda mpango na bajeti wa Taasis za Serikali, Planrep haijaanzia Ruwasa , LGAs zimekuwa zikitumia Planrep katika maandalizi ya mpango na bajeti zao zaidi ya miaka 5 sasa, na sasa ni almost Taasisi zote za Serikali zinatumia mfumo huu katika maandalizi ya Mpango na bajeti.
MUSE ni mfumo wa malipo Serikalini, mfumo huu una almost miaka 3 ukitumika Kwenye Taasisi za Serikali, mfumo huu umetengenezwa na Watanzania baada ya kuonekana mfumo wa awali "EPICOR 10" unachangamoto nyingi sana, Sina hakika kama kuna Taasisi ya Serikali mpaka sasa haitumii mfumo katika kufanya malipo yake, LGAS na Taasisi nyingi ninazozijua zinatumia mfumo huu kwenye malipo yake..
Kuhusu kuzuia ufisadi, mifumo imetengenezwa na binadamu na inatumika na binadamu
Umesema vyema na sasa pana TAUSI hii haikutaki fika kwa Halmashauri kwa maswala ya Leseni za biashara nk. Ni wewe popote ulipo na mtandao wako tu!
 
Back
Top Bottom