WADAU.
Ajira mpya serikalini tunanyonywa sijui ni kwa ufinyu wetu wa maarifa au nitakua mkosefu sana kwa kusema kuna mapapa walioweka mifereji kwa kufanya mifumo rasmi iwe migumu na kutumia huo ugumu kama faida kwao kwa kutunyonya sisi.
Ni ngumu kusema ni mtu wa nje ya mfumo kwakua vinavyotendeka vinahitaji mtu mwenye idhini kubwa.
Ninaomba msaada wenu wakuu.
Ajira mpya serikalini tunanyonywa sijui ni kwa ufinyu wetu wa maarifa au nitakua mkosefu sana kwa kusema kuna mapapa walioweka mifereji kwa kufanya mifumo rasmi iwe migumu na kutumia huo ugumu kama faida kwao kwa kutunyonya sisi.
Ni ngumu kusema ni mtu wa nje ya mfumo kwakua vinavyotendeka vinahitaji mtu mwenye idhini kubwa.
Ninaomba msaada wenu wakuu.