Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,773
- 1,174
MFUKO WA FAIDA UMEONGEZA WAWEKEZAJI
Mfuko wa umekua na kufikia thamani halisi ya shilingi bilioni 36.6
Ni ukuaji wa asilimia 91 ya lengo la shilingi bilioni 40.
Wawekezaji wameongezeka kufikia 7,553 kutoka 4,160
Ni ongezeko la asilimia 82 la wawekezaji
Mfuko wa Faida ni mfuko wa uwekezaji wa pamoja ulioanzishwa na Watumishi Housing Investment (WHI) ambayo ni Taasisi ya Umma chini ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (OR MUUUB)