Msaada kuna mtu anaumwa ametoka kipele ambacho kimetokea kidonda kwenye "naniuu" kwa chini then anasema kinakuwa kama kinawasha hivi. Itakuwa ugonjwa gani? Na atumie dawa gani? View attachment 2636406
Hatimaye kuanzia jana nimefanikiwa kuona mengi hapa JF..Pole sana Amina unapoona dalili yoyote ambayo sio ya kawaida mwilini mwako hasa maeneo kama hayo solutuon huwa ni moja tu kuwahi hospitali kwa matibabu zaidi
Hatimaye kuanzia jana nimefanikiwa kuona mengi hapa JF..Pole sana Amina unapoona dalili yoyote ambayo sio ya kawaida mwilini mwako hasa maeneo kama hayo solutuon huwa ni moja tu kuwahi hospitali kwa matibabu zaidi