Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,755
Habari nilizozisikia jana Usiku Kundi la watu wenye silaha kuvamia Nyumba Mbezi Goba bila kuiba chochote..Eneo hilo halina Kituo cha Polisi
Hii imenipa Mawazo Mengi baada ya kundi la watu wenye Silaha lililodhaniwa ni Majambazi kumvamia Mfanyakazi Huyo anayesadikiwa ni wa Tigo Usiku wa Kuamkia Tarehe 9 august 2012 lakini cha kushangaza hawakuiba kitu chochote zaidi ya kuifanyia mbaya Familia...na Kuwatesa...
Swali nimejiuliza Je Kuna uhusiano wowote pengine alihusika kuvujisha siri kwa Mwanahalisi...???alipowataja wale wahusika waliokuwa wanampigia simu Dr. Uli kabla ya kutekwa!! kama walikuwa ni Majambazi basi wangemuibia japo kitu chochote cha thamani!! au Huyu Jamaa pengine anakitabia cha Kuchezea Wake za Watu so Wamemlipizia??
My Take! Hii nchi naona kuna jambo linafanyika kuwafumba midomo watu... Hawa Usalama Watatumaliza ni bora wawahiwe kabla hawajatumaliza... hatuna Mtetezi...
Jamani Mnaojenga maeneo ya Mbali Muwe na vya kujilindia haswa Miguu ya Kuku
Twafaaaa jamani....
Source Majirani... Walisema Walishindwa Kulala na hawakuwa na la kumsaidia....Jirani yao...
Hii imenipa Mawazo Mengi baada ya kundi la watu wenye Silaha lililodhaniwa ni Majambazi kumvamia Mfanyakazi Huyo anayesadikiwa ni wa Tigo Usiku wa Kuamkia Tarehe 9 august 2012 lakini cha kushangaza hawakuiba kitu chochote zaidi ya kuifanyia mbaya Familia...na Kuwatesa...
Swali nimejiuliza Je Kuna uhusiano wowote pengine alihusika kuvujisha siri kwa Mwanahalisi...???alipowataja wale wahusika waliokuwa wanampigia simu Dr. Uli kabla ya kutekwa!! kama walikuwa ni Majambazi basi wangemuibia japo kitu chochote cha thamani!! au Huyu Jamaa pengine anakitabia cha Kuchezea Wake za Watu so Wamemlipizia??
My Take! Hii nchi naona kuna jambo linafanyika kuwafumba midomo watu... Hawa Usalama Watatumaliza ni bora wawahiwe kabla hawajatumaliza... hatuna Mtetezi...
Jamani Mnaojenga maeneo ya Mbali Muwe na vya kujilindia haswa Miguu ya Kuku
Twafaaaa jamani....
Source Majirani... Walisema Walishindwa Kulala na hawakuwa na la kumsaidia....Jirani yao...