ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
Habari zenu jamani hope mko poa,
Ndugu zangu nawashukuru kwani kuna watu wapo serious hapa nilishatafuta mfanyakazi hapa nikapata. Sifa za mhusika umri kuanzia miaka 18 msichana mwenye maadili ya Kitanzania (sitaki sistadu) elimu kuanzia form four, awe single (asiwe na mume) kazi za kufanya. Kazi za ndani kama usafi wa nyumba (nyumba ni ya ghorofa 1) , kupika kufua kupiga pasi n.k
Eneo la kazi ni Arusha mjini na mshahara ni kiasi cha Tsh. 120,000/= (kama ukimudu kazi vizuri). Mengineyo utaishi kwangu, utakula kwangu, ukiumwa nitakutibu, utakua kama ndugu yangu wa damu you will enjoy. Hutakua peke yako yupo mwenzio ila anaangalia watoto. Yupo mlinzi na mtunza bustani so kampani ipo. Naogopa kuweka namba hadharani ila anaependa nafasI hii anipe namba nitampigia.au kama una swali la ziada uliza. Hata huyu nIlienae nimempata humuhumu JF. Huwa siangalii kazi bali thamani ya kazi yenyewe.
So huo mshahara ni halali kabisa kwa anaejituma.
NB: ikumbukwe pia ni mmoja tu ndo nataka so atakaewahi ni bahati yake kama nikiridhika nae wengine msidhani nimewachunia.
Ahsanteni
Ndugu zangu nawashukuru kwani kuna watu wapo serious hapa nilishatafuta mfanyakazi hapa nikapata. Sifa za mhusika umri kuanzia miaka 18 msichana mwenye maadili ya Kitanzania (sitaki sistadu) elimu kuanzia form four, awe single (asiwe na mume) kazi za kufanya. Kazi za ndani kama usafi wa nyumba (nyumba ni ya ghorofa 1) , kupika kufua kupiga pasi n.k
Eneo la kazi ni Arusha mjini na mshahara ni kiasi cha Tsh. 120,000/= (kama ukimudu kazi vizuri). Mengineyo utaishi kwangu, utakula kwangu, ukiumwa nitakutibu, utakua kama ndugu yangu wa damu you will enjoy. Hutakua peke yako yupo mwenzio ila anaangalia watoto. Yupo mlinzi na mtunza bustani so kampani ipo. Naogopa kuweka namba hadharani ila anaependa nafasI hii anipe namba nitampigia.au kama una swali la ziada uliza. Hata huyu nIlienae nimempata humuhumu JF. Huwa siangalii kazi bali thamani ya kazi yenyewe.
So huo mshahara ni halali kabisa kwa anaejituma.
NB: ikumbukwe pia ni mmoja tu ndo nataka so atakaewahi ni bahati yake kama nikiridhika nae wengine msidhani nimewachunia.
Ahsanteni