Mfanyakazi anahitajika

Mfanyakazi anahitajika

UGORO87

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
824
Reaction score
383
Nahitaji mfanyakaz wakike na badaye awemke wangu.mm bdo sijaoa.KAZI nikulisha ngombe nakufagia mbolea yangombe.npm
 
kaka umevurugwa nn mfanyakazi wa kulisha ng'ombe halafu aje kuwa mke wako acha uhuni bana inaonekana ww ni mzee wa kabang wanaume mara nyingi ndio wachunga ng'ombe au we mmasai
 
Anataka MTU wa kumfanyia kazi bila kimlipa mshahara Huyo. Wahitaji kazi kaeni chonjo.
 
Jamani c amesema anakuwa mke wake bdye?au?
 
Jamani mnielewe c anakuwa mkewangu inamana hata ngombe c zakwake.hyo nikipmo ya bidii yake nakm anafaa.ni inteview yangu
 
Try to be wise, you can't post such a thing..!!
Wake up think twice bro.....!!!
Wanaume hatuend, huo ni UTUMWA.....!!
 
Nenda jukwaa la malavidavi huku tafuta mfanyakazi. Kazi na mapenzi wapi na wapi?
 
jaman hyo ndyo inteview yangu ya mwanamk n mpendaye km anabidii nakm anauwezo wakulish ngombe.jaman mnielewe niko serios
 
duh! hiv huwa mnaoa kwa ajili ya kufanyiwa kazi za nyumbani au mbona sielewi hapa, sipati picha utakavyo mfanya kuli huyo mwanamke
 
Mnielewe nikioa bila kujua km ninayeoa hawez kulish ngombe nitapat shda sna nahyo ndoa haitadumu n bora niwe mkweli jama
 
Mnielewe nikioa bila kujua km ninayeoa hawez kulish ngombe nitapat shda sna nahyo ndoa haitadumu n bora niwe mkweli jama

Hahahaaa!!! We ni mmsai weweee
Tafuta mmasai mwenzio hiyo ndo suluhu ya tatizo lako
 
jamani c bora mtu awe mkweli.kwani kaz yakulisha ngombe ningumu?mm cyo mmasai.masai anachunga mm nafuga nakulisha ndani
 
duuu mbona hata mwanaume anaweza kufanya hiyo kazi?
 
jaman hyo ndyo inteview yangu ya mwanamk n mpendaye km anabidii nakm anauwezo wakulish ngombe.jaman mnielewe niko serios
huuu mfumo dume siupend aisee! Ulimcost my mama dah!acha hzo ugoro!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom