Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Now what?Nasikia walikuwa pia hawapatani na Lema.
We Chalii Umenivunja Mbavu'aje Yani Mtu Apigwe Moto Jana Leo Yuko Fiti Kisaikolojia Kuendelea Na Kampein Aliemshuti Katumia Risasi Ya Kuwindia Ndege Nadhani
Nadhani umaskini tulionao watanzania ni zaidi ya Soweto maana kila dakika 6 kuna mtu anakufa kwa malaria, au magonjwa kama kipindupindu achilia mbali HIV/AIDS. Tufanye jitihada tujiepushe na umaskini kwa kutafuta wanasiasa wanaoongoza watu kufanya shughuli zinazoweza kuwafanya wawe na maisha mazuri kuliko wachumia matumbo yao wasiojali kama mtanzania anayo haki ya kuwa na huduma bora za jamii badala yake wanakamua hata hiyo pesa ya kodi kwa manufaa yao tu......!!!!!!! InaskitishaArusha imekuwa kama Soweto wakati wowote unaweza kutolewa uhai wako.
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".
Ushangae sasa. Manga hajapigwa risasi ni kujitafutia Umaarufu tyuu.
Huwezi ukapigwa risasi tatu kisha ukaenda kia kumpokea fisadi Lowassa.
Wewe sio mzima...kuna haja gani mtu kuandika "Bilionea kapigwa risasi"" angeweza kuandika tu ""diwani wa sehemu flaniapigwa risasi"" au "flani apigwa risasi" kama ni mtu anaefahamika....sasa swali langu ni je....matumizi ya neno "Bilionea" yanaendana na uhalisia wa watu hao?? Maana kila kijana akifa Arusha ....BILIONEA KAFA!!!! Khaaaa !!! Tanzania tuna mabilionea wangapi?? au kila kijana anaefanya biashara ya madini Mbuguni tu ni bilionea??
Tumia ubongo wako kutafakari nilichokizungumza....usitumie "masaburi"
cna uhakika na kiswahili chako,ila pigo kwa Lowasa kwa kumpoteza mtu anaemuunga mkono na sio pigo kutoka kwa Lowasa, nafkir upo mu
Ulitazama kama kashfa kwa lowasa lowasa ana wapambe wengi sana haliwez kua pigo
Ila kama ni kashfa ingekua pigo usipake rang manebi yako
Lakini alilengwa kufa! sio jambo la kufumbia machoUkisema jaribio la mauaji unaweza ukawa sahih zaid, coz mlengwa wa hii habar hakufa
nikweli mkuu hawa jamaa wa madini ni mabilionea; kama anamgodi na unatoa mawe vizuri; kuuza madini ya dola laki nane kwa mwaka si ajabu kwa rate ya sasa hiyo ni bilioni na zaidi. mtu anakua na cash milioni 200 kwenye safe ofisini huoni kua ni tajiri kibongo bongo??
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".
Nasikia walikuwa pia hawapatani na Lema.
Unaumwa njia ya haja kubwa..!!
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".
Freeland hapa umeonge neno la maana.Kwa nini iwe siasa na isiwe kudhulumiana kwenye biashara zake?
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".