Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
mazuri walofanya mbona hayajasemwa?
mazuri walofanya mbona hayajasemwa?
mazuri walofanya mbona hayajasemwa?
Duh! alieomba achunguzwe na TAKOKURU eti amechoka kuzushiwa, anayajua haya? huyu mtoa taarifa am sure anaujua ukweli na amefanya utafiti unaonifanya niami haya mambo? Hivi watanzania tutaibiwa mpaka lini? Hivi polisi hawamo humu JF? hapa kila kitu kik wazi