Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,582
- 10,112
Hii kuwa mfano wa nchi itakayopigwa mnada? ZIDISHA MARA 20 ILI UPATE IN TSH
Serikali ya Kenya imetangaza kwamba deni la nchi hiyo limefikia shillingi trilioni 10, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa katika historia ya nchi hiyo, huku waziri wa fedha John Mbadi akidai kwamba thuluthi mbili za mapato ya kila mwaka ya nchi hiyo yanatumika kulipa madeni.
Mbadi amewataka Wakenya sasa wachukue msimamo mkali dhidi ya ufisadi, ambao unadaiwa kuwa na dhima kubwa katika kuiweka Kenya kuwa katika hali ya kiuchumi iliyoko sasa. Waziri huyo wa fedha anasema mzigo wa deni la taifa unazidi kuongezeka. DW
Serikali ya Kenya imetangaza kwamba deni la nchi hiyo limefikia shillingi trilioni 10, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa katika historia ya nchi hiyo, huku waziri wa fedha John Mbadi akidai kwamba thuluthi mbili za mapato ya kila mwaka ya nchi hiyo yanatumika kulipa madeni.
Mbadi amewataka Wakenya sasa wachukue msimamo mkali dhidi ya ufisadi, ambao unadaiwa kuwa na dhima kubwa katika kuiweka Kenya kuwa katika hali ya kiuchumi iliyoko sasa. Waziri huyo wa fedha anasema mzigo wa deni la taifa unazidi kuongezeka. DW