William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Kamanda James Mwakibinga, kada wa CCM akiwa na watoto wadogo huko Kawe, hii ndio moja ya njia muhimu sana ya kuimarisha chama chochote cha siasa, ni kuanzia kwa watoto wadogo.
- Huu ndio mfano wa kuigwa na chama chochote cha siasa iwe hapa au Duniani popote pale, hope CCM will take a note here, kwamba zamani Mwalimu Nyerere alifanya haya ya kufikisha chama kwa wananchi kwa kuanzia na watoto, tukiwa watoto tulicheza halaiki, tulicheza Chipukizi, tukiwa Sekondari tulicheza halaiki, and then tulienda JKT!
- Siku hizi ni kila mtu na lwake, ujitahidi mwenyewe tu ufike juu hamna matayarisho no wonder tunakuwa na viongozi wasiowakamilifu na itikadi tena wengi sana!
William.
- Huu ndio mfano wa kuigwa na chama chochote cha siasa iwe hapa au Duniani popote pale, hope CCM will take a note here, kwamba zamani Mwalimu Nyerere alifanya haya ya kufikisha chama kwa wananchi kwa kuanzia na watoto, tukiwa watoto tulicheza halaiki, tulicheza Chipukizi, tukiwa Sekondari tulicheza halaiki, and then tulienda JKT!
- Siku hizi ni kila mtu na lwake, ujitahidi mwenyewe tu ufike juu hamna matayarisho no wonder tunakuwa na viongozi wasiowakamilifu na itikadi tena wengi sana!
William.