Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
WAOVU HUFANANA
Tuseme tu ukweli,waovu hufanana mpaka sura zao,harufu zao,rangi zao,tabia zao
Waovu,hujuana/hufahamiana wao kwa wao
Hata kama hawajawahi kukutana
Nyoyo za Binaadamu,zinawasiliana na kutafutana
Muovu humtafuta muovu mwenzake,na hakuna kinyume chake
Hata siku moja,muovu,hamtaki mwema,na wala hawezi kukaa nae,ni nadra sana
Kawaida yao,kupeana maneno mazuri baina yao,na hupendezeshana kila jambo lao
Maisha yao,yanaendeshwa na uongo mwingi na matamanio.
Wazinzi huitana na kuambizana kwa pmj
Walevi kadhalika
na mfanowe
Ndege wa rangi moja,huruka kwa pamoja
Ila ipo siku itafika.
Hayakuwa maisha haya ya Dunia,isipokuwa ni udanganyifu tu.
Tuseme tu ukweli,waovu hufanana mpaka sura zao,harufu zao,rangi zao,tabia zao
Waovu,hujuana/hufahamiana wao kwa wao
Hata kama hawajawahi kukutana
Nyoyo za Binaadamu,zinawasiliana na kutafutana
Muovu humtafuta muovu mwenzake,na hakuna kinyume chake
Hata siku moja,muovu,hamtaki mwema,na wala hawezi kukaa nae,ni nadra sana
Kawaida yao,kupeana maneno mazuri baina yao,na hupendezeshana kila jambo lao
Maisha yao,yanaendeshwa na uongo mwingi na matamanio.
Wazinzi huitana na kuambizana kwa pmj
Walevi kadhalika
na mfanowe
Ndege wa rangi moja,huruka kwa pamoja
Ila ipo siku itafika.
Hayakuwa maisha haya ya Dunia,isipokuwa ni udanganyifu tu.