Mfalme Harald V wa Norway amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89, baada ya kulazwa hospitalini wiki iliyopita kwa matibabu ya ugonjwa nadra wa damu.
Ikulu ya Oslo imesema mfalme huyo alifariki kwa amani saa 06:35 kwa saa za eneo (04:35 GMT) siku ya Ijumaa katika Hospitali ya Taifa ya Oslo.
Harald alikuwa mfalme wa kwanza wa Norway kuzaliwa nchini humo tangu karne ya 14. Atarithiwa na mwanawe, Mwanamfalme Haakon.
Baada ya kutawala kwa miaka 35, Harald atakumbukwa kama mfalme aliyependwa na wananchi na aliyefanya mageuzi yaliyosaidia kuibadilisha na kuifanya familia ya kifalme iendane na nyakati za sasa.
Pia alivunja baadhi ya mila za kifalme alipomuoa mwanamke wa kawaida asiye wa familia ya kifalme, na alijulikana kama kiongozi aliyekuwaunganisha wananchi wakati wa nyakati ngumu zaidi za Norway.
Soma pia Mfalme Harald V wa Norway, alazwa Hospitalini akiwa na hali mbaya kiafya
King Harald V
===============
Norway's King Harald V has died at the age of 89, after he was taken to hospital last week for treatment for a rare blood condition.
The palace in Oslo said he passed away peacefully at 06:35 local time (04:35GMT) on Friday at the national hospital in Oslo.
In the 24 hours leading up to his death, members of the royal family had visited the king, and crowds had laid flowers at the palace.
Harald was Norway's first king born in Norway since the 14th Century. He will be succeeded by his son Haakon.
After 35 years on the throne, he will be remembered as a popular and reforming figure who modernised the monarchy, broke with tradition by marrying a commoner and served as a unifying figure at Norway's most difficult moments.
Royal observers say he was down-to-earth, respected and beloved, describing him as a "grandfather" of the nation and the "People's king" - a title also used by his father King Olav V.
Source: BBC
Ikulu ya Oslo imesema mfalme huyo alifariki kwa amani saa 06:35 kwa saa za eneo (04:35 GMT) siku ya Ijumaa katika Hospitali ya Taifa ya Oslo.
Harald alikuwa mfalme wa kwanza wa Norway kuzaliwa nchini humo tangu karne ya 14. Atarithiwa na mwanawe, Mwanamfalme Haakon.
Baada ya kutawala kwa miaka 35, Harald atakumbukwa kama mfalme aliyependwa na wananchi na aliyefanya mageuzi yaliyosaidia kuibadilisha na kuifanya familia ya kifalme iendane na nyakati za sasa.
Pia alivunja baadhi ya mila za kifalme alipomuoa mwanamke wa kawaida asiye wa familia ya kifalme, na alijulikana kama kiongozi aliyekuwaunganisha wananchi wakati wa nyakati ngumu zaidi za Norway.
Soma pia Mfalme Harald V wa Norway, alazwa Hospitalini akiwa na hali mbaya kiafya
King Harald V
Norway's King Harald V has died at the age of 89, after he was taken to hospital last week for treatment for a rare blood condition.
The palace in Oslo said he passed away peacefully at 06:35 local time (04:35GMT) on Friday at the national hospital in Oslo.
In the 24 hours leading up to his death, members of the royal family had visited the king, and crowds had laid flowers at the palace.
Harald was Norway's first king born in Norway since the 14th Century. He will be succeeded by his son Haakon.
After 35 years on the throne, he will be remembered as a popular and reforming figure who modernised the monarchy, broke with tradition by marrying a commoner and served as a unifying figure at Norway's most difficult moments.
Royal observers say he was down-to-earth, respected and beloved, describing him as a "grandfather" of the nation and the "People's king" - a title also used by his father King Olav V.
Source: BBC