mfalme harald v

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mfalme Harald V wa Norway afariki dunia

    Mfalme Harald V wa Norway amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ijumaa Agosti 28, 2026 akiwa na umri wa miaka 89, baada ya kulitumikia taifa hilo kama mfalme kwa zaidi ya miaka 35. Kifo cha Mfalme Harald kimefungua ukurasa mpya katika uongozi wa kifalme wa Norway, ambapo mwanawe, Haakon...
  2. R

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mfalme Harald V wa Norway afariki akiwa na umri wa miaka 89

    Mfalme Harald V wa Norway amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89, baada ya kulazwa hospitalini wiki iliyopita kwa matibabu ya ugonjwa nadra wa damu. Ikulu ya Oslo imesema mfalme huyo alifariki kwa amani saa 06:35 kwa saa za eneo (04:35 GMT) siku ya Ijumaa katika Hospitali ya Taifa ya Oslo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mfalme Harald V wa Norway, alazwa Hospitalini akiwa na hali mbaya kiafya

    Mfalme Harald V wa Norway yuko katika hali mbaya ya kiafya na amelazwa hospitalini, ikulu ya kifalme nchini humo imesema. Mke wake, Malkia Sonja, pamoja na mtoto wake, Mrithi wa Kiti cha Ufalme, Prince Haakon mwenye umri wa miaka 53, wameghairi shughuli zote za kifalme na wamekusanyika katika...
Back
Top Bottom