chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,112
Ben yupi mkuu ben saa8 au moyo mashineHapo akienda chooni akirudi tacle lina maji kama la ben
haimuumizi???
Kwani ikiingia kwenye K, inaumia? Dushe linafuata sehemu yenye nafasi...haimuumizi???
Kwani ikiingia kwenye K, inaumia? Dushe linafuata sehemu yenye nafasi...
Shkamoo lakini.
nikajua inaumiaAfrica imetoka wapi tena?kweli mambo ya africa tuachiwe wa africa wenyewe
Kwani comment zinashibisha?Nahisi comment yako imemnyong'onyeza san mleta uzi.Mana katoa picha na maelezo mengiiiii....kisha we umecomment kiuchache tu"sawa mkuu"
Asprin hahaaa u made my sundayKwani ikiingia kwenye K, inaumia? Dushe linafuata sehemu yenye nafasi...
Shkamoo lakini.
Si ujima actually sie ndo wajinga kuacha asili yetu. Wazungu wanamhusudu sana huyu jamaa kwa taarifa yakoHuu ni ujima.
Hizo ni zama za ujima ndugu yangu, ni zama za kutembea uchi wakati wa ujima mababu zetu na mabibi zetu hawakuwa na nguo za kujisitiri, inawezekana ni mila zao lakini lazima tukubali kuwa kuna mila nyingine hazifai kuendelezwa kwani ni za kishenzi, hao wazungu unaosema wanamuhusudu kwa kweli wanamshangaa alivyo zama za kale, leo hii tunapiga kelele dada zetu kuvaa nguo zinazobana mpaka mahospitalini wanazuiwa kuingia na nguo zisizo na staha, unafikiri kwa nini? Mahitaji muhimu kwa binadamu ni chakula, malazi na mavazi. Hapo mavazi hakuna ni ujinga mtupu, hebu muangalie vizuri alivyokaa, hata hajiamini kabisa kwa sababu yupo tofauti kabisa.Si ujima actually sie ndo wajinga kuacha asili yetu. Wazungu wanamhusudu sana huyu jamaa kwa taarifa yako