Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,296
- 40,085
Basi ngoja niwavue na mm nbebwe kwenye ndege za waamerika
Nkale bata huko kwenye jela zao
Nkale bata huko kwenye jela zao
Mkuu wanaakili kuliko wanachama wa chama flan hivi. Huyu anaweza akamzidi akili hata prof aliehamia ofisini kwake baada ya kuisusia ofisi hiyo kwa mbwembwekwamba wana akili kuliko binadamu sijakuelewa, labda sijui unavoielezea akili, ninachokijua ni kwamba wanatumia asilimia kubwa sana ya ubongo wao... kitu kinachowawezesha kutafsiri vitu ambavyo binadamu hatuwezi...
mfano, paka ana ubongo mdogo na anatumia asilimia kubwa ya huo ubongo wake kitu kinachomuwezesha kuwa na uwezo mkubwa wa kuhisi... na anaweza kuona vitu ambavyo wewe kama binadamu huwezi kuona ndicho kilichopo kwa dolphin..
by the way asante kwa maada nzuri
apo sawa sawa kabisa.amesema ni mnyama mwenye akili nyingi baada ya binadamu, matumizi ya kiwango kikubwa cha akili baada ya binadamu
teh teh! kwa kweli tukiweka sentensi kwamba kuna makundi ya binadamu anayazidi akili tutakuwa tuko sahihi sanaMkuu wanaakili kuliko wanachama wa chama flan hivi. Huyu anaweza akamzidi akili hata prof aliehamia ofisini kwake baada ya kuisusia ofisi hiyo kwa mbwembwe
Pomboo hawezi kuwa wa pili kwa ukubwa baharini....kuna species za whales ni giants si mchezo. Blue whales, hump back whales, grey whales, sperm whales n.k hizi species tu dolphin anazidiwa ukubwa mara nyingi sana.Ila nashangaa papa anaweza kuwa na jeuri gani ya kusogea awapo huyo. Maana huyo Pomboo ni mkubwa mno, ni mnyama wa pili kwa ukubwa baharini.
Pia si jamii zote za Pomboo ni wa kucheza na binadamu, yupo ambaye anaitwa Orca(Killer Whale) huyo sijawahi kusikia yupo karibu na binadamu, zaidi ya wale wachache waliyolelewa na kufunzwa.
Tena ndiye mbabe baharini kote, hakuna wa kumsumbua... Papa mwenyewe akijua eneo fulani kuna Orca, hata kama wapo kundi watatawanyika wenyewe.
Papa akiingia muziki wa Orca, anashikwa na kubinuliwa kisha anatikiswa hadi alegee. Akiachiwa basi kinachofuata, maini yake yanaliwa.
Orca hadi baadhi ya specie za Nyangumi anashambulia, baharini kote hakuna wa kumzingua. Ndiyo kiumbe ambaye inaaminika hakuna wa kumuwinda bahari nzima, bali huwinda yeye samaki na viumbe wengine wa baharini. View attachment 1110019
Ni kweli ila orca sio dolphin ni jamii ya whales so unakosea unaposema sio dolphin wote au pomboo wote ni friendly,huyu orca ni killar whaleIla nashangaa papa anaweza kuwa na jeuri gani ya kusogea awapo huyo. Maana huyo Pomboo ni mkubwa mno, ni mnyama wa pili kwa ukubwa baharini.
Pia si jamii zote za Pomboo ni wa kucheza na binadamu, yupo ambaye anaitwa Orca(Killer Whale) huyo sijawahi kusikia yupo karibu na binadamu, zaidi ya wale wachache waliyolelewa na kufunzwa.
Tena ndiye mbabe baharini kote, hakuna wa kumsumbua... Papa mwenyewe akijua eneo fulani kuna Orca, hata kama wapo kundi watatawanyika wenyewe.
Papa akiingia muziki wa Orca, anashikwa na kubinuliwa kisha anatikiswa hadi alegee. Akiachiwa basi kinachofuata, maini yake yanaliwa.
Orca hadi baadhi ya specie za Nyangumi anashambulia, baharini kote hakuna wa kumzingua. Ndiyo kiumbe ambaye inaaminika hakuna wa kumuwinda bahari nzima, bali huwinda yeye samaki na viumbe wengine wa baharini. View attachment 1110019
So siyo samakiTunashukuru mkuu ila naomba niweke sawa hapo kwenye urafiki wa mamba na kiboko hawa jamaa sio marafiki ila wanajikuta wako pamoja kwa kuwa wote wanayahitaji maji na mamba anaujua mtiti wa boko ila mamba huwa anawatamani watoto wa niko
Kingine dolphin ni mammalia kutokana na sifa ulizozitaja
Orca ni dolphin na ndiyo mkubwa kuliko wote anaitwa Killer Whale kutokana na tabia yake ya kushambulia baadhi ya nyangumi na kuwauaNi kweli ila orca sio dolphin ni jamii ya whales so unakosea unaposema sio dolphin wote au pomboo wote ni friendly,huyu orca ni killar whale
Orca ni namba mbili kwa viumbe wa jamii ya mamalia baada ya Blue Whale, anafuata yeye kwa ukubwa... Anashika namba tatu tu ukijumuisha wote, akipitwa na Whale Shark pekee ambaye ni samaki mkubwa duniani.Pomboo hawezi kuwa wa pili kwa ukubwa baharini....kuna species za whales ni giants si mchezo. Blue whales, hump back whales, grey whales, sperm whales n.k hizi species tu dolphin anazidiwa ukubwa mara nyingi sana.
Pili killer whales (Orcas) hawali wala kuwadhuru binadamu. Wao wana hunt prey wengine lakini hawa attack binadamu.
Attacks chache sana zimetokea za killer whales kuwadhuru binadamu, na zote ni za wale orcas wanaowekwa vizuizini kwa ajili ya maonesho kwa watazamaji. Lakini huko baharini Orcas are always friendly to men.
Pomboo kuna watu kawapita akili, ukitaka kuamin hilo nenda sasa hiv jukwaa la wakubwa
Watu wanasifia na kukojolea
Orca hawafikii ukubwa wa species za nyangumi za humpback whale, sperm whale n grey whales...jaribu kuzigoogle ujionee.Orca ni namba mbili kwa viumbe wa jamii ya mamalia baada ya Blue Whale, anafuata yeye kwa ukubwa... Anashika namba tatu tu ukijumuisha wote, akipitwa na Whale Shark pekee ambaye ni samaki mkubwa duniani.
Hakuna specie ya Nyangumi inayompita, ukiondoa Blue Whale pekee. Ndiyo maana anawala Nyangumi wengine.
Wewe utakuwa huwajui vizuri nyangumi na species zake....Orca anazidiwa na zaidi ya species kumi za nyangumi kwa ukubwa.Orca ni namba mbili kwa viumbe wa jamii ya mamalia baada ya Blue Whale, anafuata yeye kwa ukubwa... Anashika namba tatu tu ukijumuisha wote, akipitwa na Whale Shark pekee ambaye ni samaki mkubwa duniani.
Hakuna specie ya Nyangumi inayompita, ukiondoa Blue Whale pekee. Ndiyo maana anawala Nyangumi wengine.