katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,167
Ase umenkumbusha nilivopigwa kitanzi na katili flani hivi ...ujana uacheni tu
[emoji2] [emoji2] mdau wa nini Ambiele?Aitheee kumbe na ww ni mdau duuuu
NdioUnapenda ikiwa ndefu ndefu
Tuliza munkarUjue tumechoka kusubiri eboo... Kama vipi futa basi, ndio nini kututia kiu kiasi hiki??
Mweh... Umetuweza aisee, kulala tunawaza hadithi aki huu ni unanilia
Assalam
muendelezo juu ya Mzee Mchawi yataendelea Alhamisi kwani niko bize kidogo na operation za Nane8 so stay tuned by hiyo siku itakuwa ok tuvumiliane majukumu mengi yangu binafsi, familia na Kitaifa ila naahidi BAADA YA 88 MAMBO YATAENDELEA M/Mungu akipenda