Bado upo chungu kimoja na papaNilishahamaga huko tangu 2012 nikaamua Kuokoka.
Roman catholic ndio MAMA WA MAKAHABA ,Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?
Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?
Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.
Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo . Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
acha kabisa siri hii ni kubwa sana, asomaye na afahamuZimefanyaje mkuu,funguka
Jamaa wanatafuta waumi kwa mtindo huo, Yesu wangu awasaidie kwa kuwafundisha Neno lake ili liwaokoe daimaHere we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?
Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?
Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.
Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo . Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
aisehhhhhhh nimeamini S.D.A ni kanisa la Mungu duniani.Mungu kawafunulia siri kubwa sanaHere we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?
Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?
Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.
Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo . Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
Hiyo tafsiri unaipata kwa uongoz wa roho mtakatifu
Wasabato ni extremists wa kibiblia. Sioni kama ni sahihi kusema Wasabato ni wakristo Extremists, maana hawa jamaa huwa sielewi kama no Wakristo! Maana hata msalaba wanapambana ufutwe, hawa ni Masadukayo ndio maana wanaelewana sana na Mafarisayo!!Bado upo chungu kimoja na papa
Lete fafanuzi za kweli...Fafanuzi za uongo hizo kitabu cha ufunuo kiko wazi kwa sababu kabla ya ufunuo kili funuliwa chote yote yaliyomo kwenye ufunuo yametafsiliwa na vitabu nya nyuma
Nyie mmezidi ndio maana nilishawishiwa lakini vikanishinda wala makandeBado upo chungu kimoja na papa
Ila kuabudu masanamuWasabato ni extremists wa kibiblia. Sioni kama ni sahihi kusema Wasabato ni wakristo Extremists, maana hawa jamaa huwa sielewi kama no Wakristo! Maana hata msalaba wanapambana ufutwe, hawa ni Masadukayo ndio maana wanaelewana sana na Mafarisayo!!
Wale waliosematuwahi mjini tukawaambie wanafunzi walikuja wakamwoba Yesu usiku isije ikasambaa hii habari kuwa amefufuka na akapata wafiasi wengi (NV)
Hujanielewa,kwenye Ufunuo 17 kuna mahali malaika alikuwa anampa tafsiri ya kile alichokiona jangwani kuanzia vichwa saba,mnyama hadi mwanamke...Hiyo tafsiri unaipata kwa uongoz wa roho mtakatifu
Kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa kificho
Unaweza kuwa mpinzani wa dhehebu fulani hili halina shida,lakini kuanza kudanganya ni jambo la ajabu na lisilokubalika maana kuna watu wanaweza kuamini maneno yako...Ila kuabudu masanamu
Kula nguruwe
Kuruhusu ushoga
Kuvunja amri za Mungu
Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k
Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
Unaruhusiwa na nani uwe shoga na unakubali? Huna utashi? Ina maana unaongozwa na SDA?Ila kuabudu masanamu
Kula nguruwe
Kuruhusu ushoga
Kuvunja amri za Mungu
Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k
Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
Mungu hakuwahi kuteua kanisa fulani kuwa alama yake, ila kanisa lake ni wale ambao huzishika amri zake na kuzifuata, acha kupotosha watu na kujipotosha kuhusu SDA na upendeleo wa Mungu kwaoaisehhhhhhh nimeamini S.D.A ni kanisa la Mungu duniani.Mungu kawafunulia siri kubwa sana