huyu jamaa alishawahi kuchukua nyota ya ndugu yangu, tulipoenda kwneye kioo tulimwona laivu na tukamtandika balaa. hukumu yake ipo inakuja tena haraka sana. kule misri tulishaondoka tupo kaanani na hukumu yake atamhukumu Mungu mwenyewe. kuna viongozi wengi tu wakiwa mawaziri nk wanafanya kazi kwa kuiba nyota za watu, wanatumia waganga wa kienyeji kuiba nyota za watu. wakifanya kazi utafikiri wao kumbe wamewaacha masikini makopo huko mtaani. Mungu ni wa haki na atatoa haki siku ikifika. Mungu mwenyewe atakuhukumu.