Sina uhakika na hili lakini nahisi ni kawaida kwa wafadhili kujitoa hasa kwa sababu kuu mbili:
1. Kama wanaofadhiliwa wamekwisha fikia ule muda waliokubaliana kuwa taasisi inayofadhiliwa itakuwa imekwisha komaa kiasi cha kujitegemea yenyewe........ Kwa hili sina uhakika kama REDET imekomaa kiasi hicho
2. Iwapo sera za funder zimebadilika na hivyo kubadili mwelekeo wa shughuli za Funders - kama wanavyodai REDET.
All in all REDET imefika wakati wa wao kujitegemea ingawa ni wazi kuwa kwa sasa watahaha kutafuta wafadhili wengine, which to me is rediculous........ Iwaachie nafasi taasisi nyingine changa ziweze pata ufadhili kama wao.