INAUZWA Meza na Kiti chake(Vya ofisi)

INAUZWA Meza na Kiti chake(Vya ofisi)

Jerusalem2006

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2020
Posts
306
Reaction score
1,486
Nauza meza na kiti vya ofisini, vimetumika mwezi mmoja tu. Nimevinunua jumla laki 5 na nusu.

Naviuza laki 3 tu sababu nina hama mkoa nimepata uhamisho wa kikazi, sifungui tena ofisi.

Kama una vihitaji nicheki Whatsapp au simu kawaida 0767891122. Vipo Kijitonyama.
IMG_20240829_143336_289.jpg
IMG_20240829_143245_837.jpg
 
Hiyo meza ungeipiga picha kwa mbele ionekane vizuri kama imefunikwa!?
 
Back
Top Bottom