Siku chache baada ya taarifa kuhusu meya manispaa ya Bukoba kusema kuwa anakesha ofisini akibadili nyalaka, na hatimaye yeye mwenyewe kusikika akiongea kwenye chombo kimoja cha habari kwa njia ya simu kuwa yuko nje ya mji, amebainika leo kwenye gari akiendeshwa huku ameinamisha kichwa chini akiofia kuonekana kwani ameshasema yuko kwenye vikao, Dodoma, Shinyanga na Dar es salaam.
ameonekana leo kwenye gari ambayo namba zimewekwa siri akiendeshwa na kijana wake wa kazi huku akionesha wasiwasi ndani ya gari hiyo MITSUBISH rangi ya kijani, ambapo nimemgundua baada ya kufika kwenye BUMP moja katika barabara za manispaa na gari kunguza mwendo.
Najiuliza mengi hapa kwamba kudanganya umma hakuna mwisho? lakini ngoja tutazame kama kuna sintofahamu sasa itafahamika.
ameonekana leo kwenye gari ambayo namba zimewekwa siri akiendeshwa na kijana wake wa kazi huku akionesha wasiwasi ndani ya gari hiyo MITSUBISH rangi ya kijani, ambapo nimemgundua baada ya kufika kwenye BUMP moja katika barabara za manispaa na gari kunguza mwendo.
Najiuliza mengi hapa kwamba kudanganya umma hakuna mwisho? lakini ngoja tutazame kama kuna sintofahamu sasa itafahamika.