Blessed Jr
Senior Member
- Nov 17, 2016
- 134
- 235
Beki za Portugal zinajisahau sana na wasipokuwa makini watpigwa mengi
Messi anajua kufunga, kukaba, kutoa pasi za mwisho na kubwa zaidi kutoa burudani..... wachezaji aina ya Ronaldo ni wengi ila wachezaji aina ya Messi ni nadra.Ronaldo atabaki kuwa mchezaji bora zaidi ya Messi kwa kuwa ana uwezo wa kufanya mengi uwanjani, ana uwezo wa ku assist, kufunga. Japo shida yake ni moja hawezi kukaba na huwa harudi kkaba
Mshukuru tu anawachotea marefaRonaldo atabaki kuwa mchezaji bora zaidi ya Messi kwa kuwa ana uwezo wa kufanya mengi uwanjani, ana uwezo wa ku assist, kufunga. Japo shida yake ni moja hawezi kukaba na huwa harudi kkaba
ronaldo anaeeza ku assist kuliko mess? tupe takwimu tuone.Ronaldo atabaki kuwa mchezaji bora zaidi ya Messi kwa kuwa ana uwezo wa kufanya mengi uwanjani, ana uwezo wa ku assist, kufunga. Japo shida yake ni moja hawezi kukaba na huwa harudi kkaba
AhsanteMessi anajua kufunga, kukaba, kutoa pasi za mwisho na kubwa zaidi kutoa burudani..... wachezaji aina ya Ronaldo ni wengi ila wachezaji aina ya Messi ni nadra.
Huyu fonte ndio sijui anaumwa?Beki za Portugal zinajisahau sana na wasipokuwa makini watpigwa mengi
TV1 kituo bora? miongoni mwa vituo vilivyo vya ovyo hiki cha TV1angalieni mechi kati ya ureno vs mexico Live kupitia kituo bora kabisa Tanzania kwa sasa TV1
kaka palipo na ukweli basi Nyonge mnyongeni Aki yake Mpeni Hakuna Mpinzani wa TV1 Kwa sasa Tanzania ni The Best Television 4 sports.TV1 kituo bora? miongoni mwa vituo vilivyo vya ovyo hiki cha TV1
Ndio tv ya home inayokuja kwa kas ktk michezokaka palipo na ukweli basi Nyonge mnyongeni Aki yake Mpeni Hakuna Mpinzani wa TV1 Kwa sasa Tanzania ni The Best Television 4 sports.
TV1 wanarusha kutoka Kweśe Sports, ila ni nzuri sana, wanajitahidiNdio tv ya home inayokuja kwa kas ktk michezo
Si NBA, BOXING, EPL NA SASA CONFEDERATION
NAIMAN NA WORLD CUP WATARUSHA
NDIPO WATAKAPOSOMBA WATU WENGI
TV 1 NI BEST KWA MICHEZO KWASASA HAPA TZ HANA MPINZAN
Haaah aaah uwezi kumfananisha Messi na vitu vya kijinga,,,na ni watu wachache sana wasiojua mpira watakuunga mkonoRonaldo atabaki kuwa mchezaji bora zaidi ya Messi kwa kuwa ana uwezo wa kufanya mengi uwanjani, ana uwezo wa ku assist, kufunga. Japo shida yake ni moja hawezi kukaba na huwa harudi kkaba
Messi anajua kufunga, kukaba, kutoa pasi za mwisho na kubwa zaidi kutoa burudani..... wachezaji aina ya Ronaldo ni wengi ila wachezaji aina ya Messi ni nadra.
Ronaldo atabaki kuwa mchezaji bora zaidi ya Messi kwa kuwa ana uwezo wa kufanya mengi uwanjani, ana uwezo wa ku assist, kufunga. Japo shida yake ni moja hawezi kukaba na huwa harudi kkaba