Methali za Kihindi

Methali za Kihindi

BelindaJacob

Platinum Member
Joined
Nov 24, 2008
Posts
6,494
Reaction score
4,076
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO:


(1) Mfa maji?… tampa life jacket hiyo.
(2) Mwenda pole?…tachelewa fika hiyo.
(3) Usipoziba ufa ?…mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua?…uliza google.com.
(5) Mbio za utelezini?…chafua guo yako.


(6) Ukipenda boga?…ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea?…iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika?…mambie dada ta-deki.
(9) Chelewa chelewa?…takosa guo ya sikukuu…..
(10) Kila ndege .....? Hutua Airport


(11) Bandu bandu ....? Hiyo Rafiki yake Juma hiyo
(12) Mtaka cha Mvunguni ....? Sharti Bindua tanda
(13) Simba mwenda kimya .....? Kama sio gonjwa khanisi
(14) Aisifuye mvua ....? Mkulima
(15) Barabara ndefu ....? Ongeza mwendo, tachelewa fika


(16) Mlanawe hafi nawe ila .....? Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ....? Mkuu tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ....? Tatafuna yeye
(19) Mchamba wima ....? Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ....? Kipofu


(21) Mficha maradhi ....?Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ....? Taenda Chadema
(23) Bendera ....? Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ....? Sio kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ….? Tapasi mtihani
 
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO:


(1) Mfa maji?… tampa life jacket hiyo.
(2) Mwenda pole?…tachelewa fika hiyo.
(3) Usipoziba ufa ?…mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua?…uliza google.com.
(5) Mbio za utelezini?…chafua guo yako.


(6) Ukipenda boga?…ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea?…iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika?…mambie dada ta-deki.
(9) Chelewa chelewa?…takosa guo ya sikukuu…..
(10) Kila ndege .....? Hutua Airport


(11) Bandu bandu ....? Hiyo Rafiki yake Juma hiyo
(12) Mtaka cha Mvunguni ....? Sharti Bindua tanda
(13) Simba mwenda kimya .....? Kama sio gonjwa khanisi
(14) Aisifuye mvua ....? Mkulima
(15) Barabara ndefu ....? Ongeza mwendo, tachelewa fika


(16) Mlanawe hafi nawe ila .....? Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ....? Mkuu tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ....? Tatafuna yeye
(19) Mchamba wima ....? Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ....? Kipofu


(21) Mficha maradhi ....?Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ....? Taenda Chadema
(23) Bendera ....? Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ....? Sio kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ….? Tapasi mtihani

Belinda naona umemaliza zote
Acha ni edit hiyo ya simba mwendapole

Simba mwendapole? kama haiko gonjwa iko senge dani yake
 
Belinda naona umemaliza zote
Acha ni edit hiyo ya simba mwendapole

Simba mwendapole? kama haiko gonjwa iko senge dani yake

He he..kijana una hatari,lol...subiri 'hindi' akusikie🙂)
 
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO:


(1) Mfa maji?… tampa life jacket hiyo.
(2) Mwenda pole?…tachelewa fika hiyo.
(3) Usipoziba ufa ?…mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua?…uliza google.com.
(5) Mbio za utelezini?…chafua guo yako.


(6) Ukipenda boga?…ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea?…iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika?…mambie dada ta-deki.
(9) Chelewa chelewa?…takosa guo ya sikukuu…..
(10) Kila ndege .....? Hutua Airport


(11) Bandu bandu ....? Hiyo Rafiki yake Juma hiyo
(12) Mtaka cha Mvunguni ....? Sharti Bindua tanda
(13) Simba mwenda kimya .....? Kama sio gonjwa khanisi
(14) Aisifuye mvua ....? Mkulima
(15) Barabara ndefu ....? Ongeza mwendo, tachelewa fika


(16) Mlanawe hafi nawe ila .....? Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ....? Mkuu tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ....? Tatafuna yeye
(19) Mchamba wima ....? Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ....? Kipofu


(21) Mficha maradhi ....?Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ....? Taenda Chadema
(23) Bendera ....? Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ....? Sio kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ….? Tapasi mtihani
HIYO NA 13, Kafungwa na yanga huyo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom