M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 May 2, 2016 #1 Je, jibu la swali la sita ni lipi? Huu ni mtihani wa Kitaifa wa darasa la nane.
M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 May 3, 2016 Thread starter #3 Maana ya methali b ni ipi?
ruhi JF-Expert Member Feb 26, 2012 3,735 5,401 May 3, 2016 #4 D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana
D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana
M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 May 5, 2016 Thread starter #5 ruhi said: D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana Click to expand... Kwanini D? Kwa maoni yangu A na D hayafai. Jibu liko kati ya B na C.
ruhi said: D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana Click to expand... Kwanini D? Kwa maoni yangu A na D hayafai. Jibu liko kati ya B na C.
Aqua JF-Expert Member Jul 23, 2012 1,658 1,229 May 7, 2016 #6 Swali la sita jibu lake ni "A".i.e Papo kwa papo kamba hukata jiwe.
mtu kitu JF-Expert Member Apr 23, 2011 702 508 Sep 12, 2018 #7 MwendaOmo said: Je, jibu la swali la sita ni lipi? Huu ni mtihani wa Kitaifa wa darasa la nane. Click to expand... Mkuu , siwezi kuiona huo ukurasa / karatasi uliyoambatanisha hapo MwendaOmo
MwendaOmo said: Je, jibu la swali la sita ni lipi? Huu ni mtihani wa Kitaifa wa darasa la nane. Click to expand... Mkuu , siwezi kuiona huo ukurasa / karatasi uliyoambatanisha hapo MwendaOmo