METHALI: Enzi za shule ya msingi.

Nlipokua darasa la kwanza nliulizwa "dawa ya moto?" nkajibu maji kwaajili ya zima Moto.
Nusura nimpige mwalimu yai visa kwa kunikosoa
 
Hahahahahahaaaa mwenda juu kipungu hurudi na malungu
Hakuna methali nilikua nakosa Kama bangu bangu mpaka siku nilipojua ndio ikawa mwisho kutolewa hiyo methali
Eti bangu bangu linabagua ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom