Metali kubwa ya kisiri yaibuka tena nchini India

Metali kubwa ya kisiri yaibuka tena nchini India

Risen man

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
20,060
Reaction score
54,264
Metali kubwa ya kisiri yaibuka tena nchini India

Metali kubwa ya kisiri iliyoonekana katika miji 30 hivi kote duniani, hivi sasa imeibuka tena nchini India.

Habari kutoka gazeti la India Today zinasema, metali hiyo ilionekana kwa mara ya kwanza katika bustani moja huko Ahmedabad, India. Metali hiyo ina urefu wa mita 1.82, na imechorwa namba na alama kadhaa.

Wafanyakazi wa bustani hiyo wamesema, hawajui metali hiyo inatoka wapi, pia hawakuona watu walioiweka kwenye bustani.

Habari zinasema, mpaka sasa metali kama hiyo zimeonekana katika miji 30 hivi kote duniani, na mara ya kwanza iligunduliwa huko Utah, Marekani.

Chanzo: CRI Kiswahili

======

Nini kipo nyuma ya haya mapichapicha?
FB_IMG_1609601714916.jpg
Screenshot_20210218-140730.png
Screenshot_20210218-140529.png
 
Metali kubwa ya kisiri yaibuka tena nchini India

Metali kubwa ya kisiri iliyoonekana katika miji 30 hivi kote duniani, hivi sasa imeibuka tena nchini India.

Habari kutoka gazeti la India Today zinasema, metali hiyo ilionekana kwa mara ya kwanza katika bustani moja huko Ahmedabad, India. Metali hiyo ina urefu wa mita 1.82, na imechorwa namba na alama kadhaa.

Wafanyakazi wa bustani hiyo wamesema, hawajui metali hiyo inatoka wapi, pia hawakuona watu walioiweka kwenye bustani.

Habari zinasema, mpaka sasa metali kama hiyo zimeonekana katika miji 30 hivi kote duniani, na mara ya kwanza iligunduliwa huko Utah, Marekani.

Chanzo: CRI Kiswahili

======

Nini kipo nyuma ya haya mapichapicha?
View attachment 1665792
Achana na upuuzi wa watu walioshiba.Shughulika na njaa yako kwanza.
Hakuna ujumbe wowote wa maana unaopatikana katika mchezo huu.Nimefuatilia tangu ilipoanza kule Marekani nikaona ni ujinga mtupu.Wangependa ionekane hicho kitu kinawekwa na UFO yaani viumbe kutoka angani lakini kwa mfumo huo haileti maana yoyote.
Wanajitia gharama bure kuchomeka hilo dude ambalo sio metali (madini).
 
[emoji16][emoji16] huu Uzi Ni special kwako tu mkuu

Sisi wengine tumetoka patupu

Tufafanulie maana ya metali kwanza
Metali ni elements zenye tabia za pamoja kama kupitisha umeme, joto na zinang'aa
Kitu kama chuma, aluminum, dhahabu nk huitwa nusu metali kwa kuwa vitu hivyo vina nusu ya tabia ya metali.
 
Achana na upuuzi wa watu walioshiba.Shughulika na njaa yako kwanza.
Hakuna ujumbe wowote wa maana unaopatikana katika mchezo huu.Nimefuatilia tangu ilipoanza kule Marekani nikaona ni ujinga mtupu.Wangependa ionekane hicho kitu kinawekwa na UFO yaani viumbe kutoka angani lakini kwa mfumo huo haileti maana yoyote.
Wanajitia gharama bure kuchomeka hilo dude ambalo sio metali (madini).
Wachomekaji ni kina nani na umejuaje wanataka kutuaminisha maswala ya aliens?
Je, kama Wachomekaji wana lengo hilo la kutuaminisha kuwa viumbe toka sayari za mbali ndio wanaweka hayo madude, unadhani wana agenda gani kubeba jukumu kama hilo lenye gharama bila faida?
 
Back
Top Bottom