Haswaaa.... Japo Kuna mech huwa hafungi pamoja na kupewa nafac nying..mfano mech ya juz alikosa Magoal pamoja kusubir mipira ifke kwake lakn hilo halimuondolei credit kama mfungaj..bado nna amin Katka ufungaj wake na si uchezaj na movement zake uwanjan...Linapokuja swala uchezaj na movement zake uwanjan hatofautian kabsa na kina inzagh ama kluvert..Ronaldo anakua mzigo zaid..hata team ya taifa miaka yote alieibeba ureno n Luis nan..angalia nusu fainal ilichezwa kat ya Spain vs Portugal, uero iliyopta.....but in real sense Marcelo n hatar sana...hata mech ya juz Magoal yote mawil yeye ndie mpish mkubwa...anajua jins ya kutia presha kwa wapinzan.....Ukitaka kuifunga RMA maliza uwezo wa Marcelo na hivyo basi ukimwacha Marcelo apeleke kazi yake kwa wafungaji wake hakika utajua CR7 ni nani
Kwa hyo kuwalinganisha Hawa jamaa sio fair kabsa...Ronaldo is quiet different from Messi... Kwa kuangalia matukio ya wachezaj ndan ya uwanja..tukumbuke kufunga n tukio moja wapo ya matukio meng uwanjan