Mchezaji wa timu ya Barcelona ameibuka kidedea masaa kadhaa yaliyopita baada ya kumwaga kwa mbali Ronaldo. Kura zinaonyesha Messi alipata kura karibu mara tatu ya zile Ronaldo. Maswali ya kujiuliza, je Messi amesaidiwa na timu zake kutwaa Tuzo au yeye ndiyo amezipatia mafanikio timu zake. Itakumbukwa kuwa timu yake ya Taifa haipewi nafasi kubwa katika kombe la Dunia, je inawezekana Messi hiyo ndio tuzo ya kwanza na ya mwisho. Nini hatima ya Ronaldo ambaye anaonekana kuwa mpinzani wa Messi. Au tutegemee wengine tena kuchipuka katika kombe la dunia. Bnafsi nadhani Messi anastahili!!!