Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
![]()
![]()
![]()
shunie ameelewa maana yangu jaman




nimeelewa sana na yeye kaelewa sana anajitoa ufahamu dada angu ako na list ndefu mpaka ananitisha hana tofauti na tumosa
![]()
![]()
![]()
shunie ameelewa maana yangu jaman




nimeelewa sana na yeye kaelewa sana anajitoa ufahamu dada angu ako na list ndefu mpaka ananitisha hana tofauti na tumosaWow..... Am coming my one n only Eli79
Au nimekosea boss?
Khaaaanimeelewa sana na yeye kaelewa sana anajitoa ufahamu dada angu ako na list ndefu mpaka ananitisha hana tofauti na tumosa
Ila sakayo alijitahidi kutuficha jaman ndo tunastuka sasa hivi mambo yanazidi kupamba moto!na ile kuchekacheka hovyo alikuwa anakudanganya mwenzangunimeelewa sana na yeye kaelewa sana anajitoa ufahamu dada angu ako na list ndefu mpaka ananitisha hana tofauti na tumosa
Mama mkwe inatakiwa mpendane hadi tukasaka maana ya mapenzi kwa kamusi tukute jina zenu Davet and ShunieHahhaha eti namtafutia sababu mtu mzima ba mkwe sina hizo mambo
Woooooooooozeeeeeeer siku ya kupigwa mm sura yangu nitaiweka wapiWow..... Am coming my one n only Eli79
Woyooooooo moyo wako bada ya kusukuma damu unamsukuma mwifwa tu jamaniSijiwezi kipenzi nahic kuchanganyikiwa kabisa kwa mapenzi unayonipa
Khaaaa
Ujue Eli79 keshakuelewesha vizuri eeh





mshipa wa watu kaachwa hapa hapa na sababu juu ya kibonge lawama ananitupia mmKwa maneno yako haya sitarajii kulala usingizi kabisa, nataka niwe na wewe nikuangalie tabasamu lako zuri lililojaa upendo kwangu.Sijiwezi kipenzi nahic kuchanganyikiwa kabisa kwa mapenzi unayonipa
Hapana mm niko namjua vizuri sana niko na mashemeji hata kwenye coaster hawatoshiIla sakayo alijitahidi kutuficha jaman ndo tunastuka sasa hivi mambo yanazidi kupamba moto!na ile kuchekacheka hovyo alikuwa anakudanganya mwenzangu
Hahahamshipa wa watu kaachwa hapa hapa na sababu juu ya kibonge lawama ananitupia mm
He he ba mkwe acha nicheke kihutu kwanzaMama mkwe inatakiwa mpendane hadi tukasaka maana ya mapenzi kwa kamusi tukute jina zenu Davet and Shunie
Sina jibu sahihi mkuuAu nimekosea boss?
Wooooooozeeeeer naomba picha mie ukiwa unakesha jamani khaaaa haya ni zaidi ya mahaba niueKwa maneno yako haya sitarajii kulala usingizi kabisa, nataka niwe na wewe nikuangalie tabasamu lako zuri lililojaa upendo kwangu.





HahahaWoooooooooozeeeeeeer siku ya kupigwa mm sura yangu nitaiweka wapi
Hahaha dada angu Mungu anakuona jamani mshipa lawama ananitupia mieHahaha
Wabebez wako jamaniHahaha
Nani akupige tena