Message na call logs mnabaki nazo kwenye simu za nini?

Message na call logs mnabaki nazo kwenye simu za nini?

temoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2025
Posts
217
Reaction score
475
Mtu unafumaniwa na meseji ulizochati na mtu au mumeo anakuta namba mpya ambayo unawasiliana nayo kila mara hadi anaanza kuitilia mashaka. Umechati na mtu mmemaliza kwanini usifute hizo meseji au umewasiliana na mtu mmeongea mliyoyaongea kwanini usifute hiyo namba. Unaskia wanandoa wanalalamika kila siku kufumaniana meseji kwénye simu za wenza wao meseji nyingine unakuta zipo kwenye simu kwa mda mrefu. Kwanini hizo meseji mkimaliza maongezi yenu msizifute mnaziacha huko kwenye simu za nini? Maana mambo mengine mnajitakia wenyewe
 
Mtu unafumaniwa na meseji ulizochati na mtu au mumeo anakuta namba mpya ambayo unawasiliana nayo kila mara hadi anaanza kuitilia mashaka. Umechati na mtu mmemaliza kwanini usifute hizo meseji au umewasiliana na mtu mmeongea mliyoyaongea kwanini usifute hiyo namba. Unaskia wanandoa wanalalamika kila siku kufumaniana meseji kwénye simu za wenza wao meseji nyingine unakuta zipo kwenye simu kwa mda mrefu. Kwanini hizo meseji mkimaliza maongezi yenu msizifute mnaziacha huko kwenye simu za nini? Maana mambo mengine mnajitakia wenyewe
Au kwann tusiwe na kismart tochi, Cha kuwa tunahifadhi zambi zetu afu tunakiacha kwenye gari tukirudi nyumbani?🤗🤗
 
Au kwann tusiwe na kismart tochi, Cha kuwa tunahifadhi zambi zetu afu tunakiacha kwenye gari tukirudi nyumbani?🤗🤗
Si ndiyo? Unakuta hadi ana meseji za mwaka jana kwenye simu huwa najiuliza za nini sasa
 
Hapana mkuu tunafundishana namna ya kuweka mambo yawe salama
 
Na sie tusio na magari tuziache kwenye daladala au sio
Kwa mangi dukani😎 au ofisini unapofanyia kazi, au Baki njia kuu! Ukiamua kuambatana na shee tan, ingia mazima mbinu atakupa tu!
 
Ni uzembe wa kiwango cha lami kukaa na mameseji ya mapenzi mpaka ukakamatwa nayo. 🚮 Mimi nachati na huku nafuta yaani msg ikiingia nikishasoma nafuta ndio najibu.
 
Ukiachana na sekta ya mapenzi kuhifadhi message Kuna umuhimu sana

Nishawahi kuingia kwenye msala halafu kujitoa ni ushahidi wa message ambayo nilishaifuta
 
Kwa mangi dukani😎 au ofisini unapofanyia kazi, au Baki njia kuu! Ukiamua kuambatana na shee tan, ingia mazima mbinu atakupa tu!
Dukani kwa mangi hapafai. Ni karibu na nyumbani anaweza kutoboa siri
 
Ni uzembe wa kiwango cha lami kukaa na mameseji ya mapenzi mpaka ukakamatwa nayo. 🚮 Mimi nachati na huku nafuta yaani msg ikiingia nikishasoma nafuta ndio najibu.
Hata mimi
 
Sisi wote humu ni watu wazima, hakuna haja ya kuelekezana mambo ya kitoto kama haya,, kila mtu ana priorities zake.
 
Hivi bado kunawatu wanachepuka duniani? Pamoja na amri kusema usizini. Mwamba najivunia mwaka wa 23 huu mke mmoja.
 
Back
Top Bottom