Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751


11041824_702715586511859_5223434401185650286_n.jpg
 
Jamaa hawa ni wabaguzi sana na wana chuki za kutisha kwa Waafrika, baada ya waliofanyiwa na yule jamaa wa Ujerumani ungetegemea wawe mstari wa mbele kuonyesha upendo kwa wanadamu wenzao bila kujali rangi ya ngozi zao, lakini si hivyo.
 
But they have to remember Ilania they will mother fanta them.

swissme
 
Mataifa mengi ya nje wanawachukia israeli moja ni wabaguzi wa rangi na uonevu kwa wapalestina. Lakini tanzania ni moja ya nchi chache sana duniani ambazo wengi wa raia wake wanawapenda waisraeli kuliko ndugu zao wa kuzaliwa nao. Waisreli sio watu wazuri hata kidogo ni bora makaburu wa africa kusini kuliko wao.
 
Watanyania wanaongoywa kwa kutokujua, kwanya waisrael wengi hawaamini kuhusu YESU
 
Mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wanaipenda israel kwa moyo wangu wote lkn kwa ujumbe huu mmmh!!!
 
Daah ni kweli watu weusi tuna matatizo yetu, lkn na hawa wenzetu too much sasa, daah!
 
mataifa mengi ya nje wanawachukia israeli moja ni wabaguzi wa rangi na uonevu kwa wapalestina. Lakini tanzania ni moja ya nchi chache sana duniani ambazo wengi wa raia wake wanawapenda waisraeli kuliko ndugu zao wa kuzaliwa nao. Waisreli sio watu wazuri hata kidogo ni bora makaburu wa africa kusini kuliko wao.

Tanzania ilifunnga ubalozi wa Israel na kuwafukuzia mbali.
 
BAK

Waisraeli wamejisahau kabisa kama wao ni binadamu wenye kuwajibika pia.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sijui nikoje, mbona naona poa tu. Kwani mimi nikikataa watu fulani kuja nyumbani kwangu ni kosa? Sasa inakueje wa israel,wazungu wengine wanapokataa mataifa mengine waje kulowea kwao iwe issue. Wewe kama mtanzania au msomali una haki gani ya kudai ukae huko kama sio mkimbizi?
Kwenu mharibu halaf muende kwa wenzenu mdai haki ya kukaa huko. Its ridiculous na mimi sielewi kabisa naomba kujulishwa.
 
Back
Top Bottom