Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 647
Jamani tuache story za vijiweni..kampuni ya simu haiwezi kuijua IMEA number yako...kipindi cha simu za analogy ilikuwa rahisi kwa kampuni ya simu kuifunga handset yako kama umeibiwa kwa kuwa walikuwa na record ya number na IMEA yako lkn kipindi hiki cha DIGITAL mambo yamekuwa tofauti kwa kuwa makampuni ya simu sio watengenezaji wa simu ndio maana ukiibiwa simu ukitaka kuifunga wanakuuliza IMEA number yake kama unaijua......wenzetu waingereza wamesema wana mpango wa kuanza kuwakamata/kufuatilia nyendo za wezi kwa kutumia GPS